Sasa Yesu Anaujulia Wapi Uislam Ingali Uliletwa Miaka 600 Baada Ya Kifo Chake.Hakuna dini nyingine duniani zaidi ya Uislam.
Wewe kitabu kipi ulifunsdishwa hiyo unayoifata kuwa ni dini?
Yesu mwenyewe akija leo ukimwambia "Mimi Mkristo" atakushangaa, haujuwi ukristo wala hajawahi kuusikia.
Mbona Huwasemi Mabwana Zako Warabu Au Unafikiri Huo Uislamu Ulianzia Mkuranga ?Hebu fikiri japo kidogo. Uislam unanifundisha kuwa kila muumini ni mchungaji wa kuamrisha mema na kukataza maovu.
Wewe waliokuletea "ukristo", wzungu hao, wamekuita kondoo, na wewe unafurahia kuitwa kondoo na unacheklea na kuniona mimi Muislam mjinga?
Hivi kondoo na mchungaji ni nani mjinga zaidi hapo?
Wewe Ni Pepo Si Bure.Dah, uemmfundishwa wapi hayo? wakati Yesu kwenye biblia ananukuliwa akisema, hakuleta amani bali kaleta upanga? Mimi kama Muislam nasema waliyoiandika hiyo biblia wamemzulia tu. Wewe unasemaje?
We goneEnheee?
Uislam ni mwema sana, tazama maneno mema kabisa kutoka kwa Muumba wako:Mbona Huwasemi Mabwana Zako Warabu Au Unafikiri Huo Uislamu Ulianzia Mkuranga ?
inaoneka iko hivyo , yaani moja kwa moja ana kwenda kupiga mastori ya Niaja na MtumeKwani huyo Mercy ndio ameshaiona pepo kwa kusilimu kwake?!
Mbona hamkiri wala kumuamini yeye wala watumishi wa Mungu wanaofanya majukumu alioyaagiza?Huwa sijibu pm ya yeyote ambae sijamkaribisha kunitumia pm.
Hujajibu swali:
Wapi mnapopata hayo mafundisho kuwa Wafuasi wa Yesu ni Wakristo?
Mimi nijuavyo wafuasi wa Yesu ni Waislam.
Anza kujibu zangu basi.Huwa sijibu pm ya yeyote ambae sijamkaribisha kunitumia pm.
Uislam mwema sana.uyu bibi akilala akiamka anawaza uislamu tu aisee ni hatari bado kujiripuwa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app