Msanii Madee Ali,azuia nyimbo zake alizoshoot South Africa zisipigwe kwenye TV na Radio station,azifuta kwenye channel yake youtube

Mi mwenyewe demu wangu wa kizulu nimemuacha. Wadau igeni mfano wangu, say no to xenophobia.
 
Ww ndo madee??
 
Kwa akili yako unavyofikiri hiv kweli diamond, Vanessa, alikiba wanaweza kumuiga madee alichofanya?
 
Hongera Sana madee. Umepinga kwa nafasi yako. Ile Mambo wanayofanya SA haikubaliki.
 
Mi nikajua ni ngoma mpya


btw ilitakiwa sio tu wasinii kuiga,africa nzima tungefurumusha hizo baloz zao,
 
Daah huyo Mavi kwel yaan ugali wake mwenyewe alafu anatishia watu aende zake huko na kiki za kijinga
 
Mwambie huyo. Haya CR7 alipokuwa na mashtaka ya ubakaji, EA SPORTS walimuondoa kwenye cover ya FIFA 19. Na kama mahakama ingemkuta na kesi ya kujibu, basi ungeona makampuni mengi yakiacha kushirikiana naye. Na hapo angejutia makosa.
Hivyo, kama wasanii wakiamua kumuunga mkono. Basi ujumbe unaweza kuwafikia wasauzi

 
Fact
 
Eti ni "Kiki" tu? Basi ni bora "Kiki" hii yenye mashiko ya kukemea uovu unaondelea Afrika ya Kusini, kuliko "Kiki" za wengine ambazo ni za kitoto na za kipuuzi, zisizo na faida kwa jamii.
Lets give credit where/when its due...
Kafanya maamuzi yake, kwa nafasi yake na mamlaka aliyonayo juu ya muziki wake
 
Asisahau kwenye nyumba zake zote anazo zipost instagram kaezeka msouth na anayokaa kafunda dish la DSTV.

Sasa sijajua atayang'oa mabati yale na kuliondoa dish la DSTV.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…