Msanii Madee unatuumiza na kututia hasira mno sisi Hustlers

Kwa kauli hiyo. Kesho magazeti ya udaku yatakuwa na vichwa vya habari kama hivi " madee achoma gari yake" ha ha ha ha nasubiri kwa hamu kesho kusikua madee kachoma gari kisa kipondo cha 1-0
 
Madee limbukeni tu na ni kwa sabab kashika hela kias ukubwani..angekua na hela kama za wanamuziki wanigeria sijui angesemaje... Achome tu hata akitaka avute ule moshi wakati anachoma...ila akumbuke hajafika hata Mr. Nice alikokua amefika...na amuulize
 
Mkuu huyu Madee ni maskini wa akili... Atakua kakulia uswazi ambako hawawazi...huko ndo kunakuaga na ushabiki wa aina yake...
 
Kashafungwa ss achome hilo gari km yy ni fala
 
Haya ndo baadhi ya mambo aliyosema mgombea urais wa Marekani wa sasa mzungu Donald Trump kuhusu watu weusi watu wakapiga kelele sana
 
Naona unatumia akili kumpromote msanii huyu Hongera
 
Mziki wa madee nay wa mitego na kitale au mkude simba na mafanikio yao haviendani kabisa
Muziki ni kazi iliyokufanya umfahamu Madee, llakini Madee hategemei muziki peke yake.
 
Kusema team yangu ikifungwa nitachoma moto gari yangu ni dalili ya ulimbukeni na uasikini wa fikra tu, mtu mwenye pesa hawezi kuweka Nadhiri ya kipuuzi kiasi hicho.
 
nataka nione Moshi wa gari lililochomwa unavyo kuwa....teh teh chezea Chelsea..?!
 
Ilo gari si akampe baba yake kibaha Maili Moja anatembea kwa miguu tu mzee wa watu" mtoto hana adabu huyu kwa uwezo gani aliokua nao achome gari.
Au kuna ngoma anataka kutoa /kiki
 
Kumbe na wewe unaandikaga pumba humu,rubbish
 
madee singizia watu wa fire na NEMC wamekuzuia.
 
Mbaya sana..... Sometimes ushabiki huwa ni kama addiction ya cocaine, sasa kwa upande wake kama msanii na kioo cha jamii hajafanya jambo la hekma kutoa kauli ya kuchoma gari lake moto ukiangalia mpaka hapo alipo ni usanii ambao ni sisi mashabiki ndo tunamlipa kwa perfomance yake,pale anaposema anachoma gari lake actually hatupaswi kuwa wasemaji sana koz its his personal property but akitaka kingne sisi ndo atatualiki kwenye matamasha sasa ukiwaza wewe kama shabiki kuwa iyo pesa yaenda ku betiwa kwa kuchomwa....!? better than angeigawa kwa msaada kuliko kuchomwa daaaah anyway life goes on
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…