kidochi og
Member
- May 27, 2020
- 45
- 74
Mbona me juzi nilijinyonga kisa wewe hujui tuKama ni kweli basi huyo Mario hayuko serious na maisha, yaan karne hii ujiue kwa ajili ya mtu!
Usirudie tena kufanya hivyo nakuomba😅Mbona me juzi nilijinyonga kisa wewe hujui tu
Wewe sema tu "umenikubali" hilo neno linanipa burudani sanaUsirudie tena kufanya hivyo nakuomba😅
Maisha ya duniani yalivyo matamu hivi af mtu unakatisha uhai kizembe aah sio poa kabisa
Kumbe watu wapo kazini, they need to grow up kwakweliKiba anafanya wimbo wao wanafanya skendo
#Mediocre [emoji3][emoji3]
Licha tu ya mtu hebu anza kujifikiria unaachaje ugali dagaa, kachumbali,maharage,samaki na juisi kola.. unaachaje hivi vitu unakimbilia kujitia mkamba wa shingo..😅Kama ni kweli basi huyo Mario hayuko serious na maisha, yaan karne hii ujiue kwa ajili ya mtu!
Me nakukubali toka kitambo mbonaWewe sema tu "umenikubali" hilo neno linanipa burudani sana
Agiza faru Joni kubwa popote pale nalipaMe nakukubali toka kitambo mbona
Imagine! Wali maharage ulivyo mtamu vile, em aache huo ujinga aendelee kutupa burudani mashabiki wake.Licha tu ya mtu hebu anza kujifikiria unaachaje ugali dagaa, kachumbali,maharage,samaki na juisi kola.. unaachaje hivi vitu unakimbilia kujitia mkamba wa shingo..😅
SanteeAgiza faru Joni kubwa popote pale nalipa
Lenie I Love You[emoji7][emoji7][emoji7]Kama ni kweli basi huyo Mario hayuko serious na maisha, yaan karne hii ujiue kwa ajili ya mtu!
Ohoo kumekuchaLenie I Love You[emoji7][emoji7][emoji7]
Would be my girlfriend
I'm not joking I mean it
Please Lenie I love you so much[emoji7][emoji7] once I see your texts my heart beeps and beats so fast [emoji177][emoji177]Ohoo kumekucha