Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
"Nishamtumia na yakutolea"Sponsor niachie my wangu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Nishamtumia na yakutolea"Sponsor niachie my wangu..
Mpumbavu tu, kwani kamuoaMeneja wa msanii Mario amethibitisha Hilo aliokuwa akihojiwa na Millard Ayo.
Amesema msanii wake huyo alitaka kuchukua uamuzi huo baada ya kuona mpenzi wake ambae pia ni msanii wa bongo freva anaejulikana kwa jina la Mimi Mars kudaiwa kutoka ki mapenzi na msanii Diamond plutnum
Chanzo cha habari;,Millard Ayo
mkungumaya hujamboKama ni kweli basi huyo Mario hayuko serious na maisha, yaan karne hii ujiue kwa ajili ya mtu!
😄😄 Mie niko bomba kabisa, hofu na mashaka juu yako.mkungumaya hujambo
😄😄 Mie niko bomba kabisa, hofu na mashaka juu yako.
Akatafute pesa mtu huna pesa wadada wazuri utaishia kuwaita shemejiMeneja wa msanii Mario amethibitisha Hilo aliokuwa akihojiwa na Millard Ayo.
Amesema msanii wake huyo alitaka kuchukua uamuzi huo baada ya kuona mpenzi wake ambae pia ni msanii wa bongo freva anaejulikana kwa jina la Mimi Mars kudaiwa kutoka ki mapenzi na msanii Diamond plutnum
Chanzo cha habari;,Millard Ayo
Sasa hivi anaitwa Isha kiba mashauzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]Kiba anafanya wimbo wao wanafanya skendo
#Mediocre [emoji3][emoji3]
Siamini macho yangu..! narudi kujinyonga tenaAsante kwa kunipenda mwaya
Kijana unaparamia sana mambo wengine ni mama zako .Please Lenie I love you so much[emoji7][emoji7] once I see your texts my heart beeps and beats so fast [emoji177][emoji177]
Lenie hii ya Mario naona Ni Kiki tu kwasababu kwanza mtu ambaye anataka kujiua hawezi kupost insta la pili nimeona kesho atafanya press conference naona Kuna kitu anataka kuzindua either Ni wimbo au something else ametumia hiyo njia ili kutengeneza attention kwa watu tu ili kesho asikilizwe.Asante kwa kunipenda mwaya
Ila wasanii wa bongo wanaboa na kiki zao. Halaf Mario mbona ni msanii mzuri tu na anajina saivi watu wengi wanamkubali. Waliomshauri hivyo hawana akili kabisa.Lenie hii ya Mario naona Ni Kiki tu kwasababu kwanza mtu ambaye anataka kujiua hawezi kupost insta la pili nimeona kesho atafanya press conference naona Kuna kitu anataka kuzindua either Ni wimbo au something else ametumia hiyo njia ili kutengeneza attention kwa watu tu ili kesho asikilizwe.
Lenie shida inaweza isiwe yeye shida Ni mashabiki wanaoenda na mdundo kwasababu yeye amepost kitanzi Cha kamba cha kujinyonga bila kuandika caption yoyote tatizo lipo kwa wanao tafsiri na pia yeye aliwahi kukataa kuwa ajawahi kuwa na uhusiano na Mimi Mars zaidi alikuwa na ukaribu nae kwaajili ya kumuandikia wimbo tu na pia Mimi Mars alikataa tetesi ya yeye kuhusishwa kihusiano na Marioo Wao wenyewe walishakataa kuwa kwenye mahusiano kwanini wabongo wanalazimisha kuwa wanamahusianoIla wasanii wa bongo wanaboa na kiki zao. Halaf Mario mbona ni msanii mzuri tu na anajina saivi watu wengi wanamkubali. Waliomshauri hivyo hawana akili kabisa.
Wangetafuta kiki nyingine sio mambo ya kufa kila siku.
mbona unaacha kuku choma, nyama choma, mbuzi choma, kitimoto, k vant, safari, castle lite, windhoek n.k?Licha tu ya mtu hebu anza kujifikiria unaachaje ugali dagaa, kachumbali,maharage,samaki na juisi kola.. unaachaje hivi vitu unakimbilia kujitia mkamba wa shingo..[emoji28]
mwambie mumeo nasibu aache umalaya na skendo ..Sasa hivi anaitwa Isha kiba mashauzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]