Msanii matata LULU na kashfa ya kuhongwa gari

Msanii matata LULU na kashfa ya kuhongwa gari

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
Staa kinda katika Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu' amefungua kinywa na kujibu skendo iliyoenea jijini Dar es Salaam kuwa, amehongwa gari na kigogo mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja.

Akizungumza na Amani jijini Dar juzi, Lulu aliyefanya ‘wandaz' kwenye Filamu ya Tatuu alifunguka kuwa, suala la yeye kuhongwa gari aina ya Toyota Starlet ambalo linachukua kasi mithili ya moto wa kifuu kitaani, halina ukweli kwani anaendesha magari mengi.

Alisema: "Jamani nachukizwa na watu wanaofanya kazi ya kupakazia wenzao. Kwanza kabisa sikumbuki ni lini niliendesha Starlet kwa sababu huwa nasukuma mikoko ya aina tofauti tena mikali.

D_101925_1glq1f26e7_01.jpg


"Hiyo ni skendo tu wameamua kunipikia. Ukweli mimi sina na wala sijahongwa gari, sema tu huwa natumia magari ya kukodisha kwa watu tofauti tofauti.

"Kwanza mtu akisema kuna mwanaume amenihonga gari hata siwezi kujua ni nani kwa sababu natumia magari ya watu wengi kwenye mizunguko yangu."

Katika sura nyingine, Lulu aliwashangaa wanaosema kahongwa Starlet, gari analoamini kuwa siyo la kupewa yeye kwa hadhi yake.

"Ha! Starlet, yaani ndiyo gari la ‘saizi' yangu? Si kweli, mimi naendesha magari makali na siyo la aina hiyo."

Hata hivyo, Lulu alimalizia kwa kuwataka mastaa wenzake kuacha majungu na kuweka juhudi katika kazi zao za sanaa.

DSC07255.JPG
 
mtoto mdogo mambo yake makubwa!! nakapenda kwa kazi zake lkn tabia zero!! urembo unamdangaya!! keep it up Lulu lkn jitambue, you are still young
 
Hivi huyu naye ni Star du . labda mi ndiyo sijui maana ya star
 
Huyu nae ni star?basi bongo kila mtu nistar,ngoja wakafyodoe wakachapechape wakaache solemba utoto unakasumbua,kasubirie ngoma kama hakataki kutulia.
 
Kwa uzuri alionao, anastahili kuhongwa gari.
 
DSC07255.JPG


Mashallah mtoto mzuri haswa anastahili kuongwa magari makali acheni wivu bana.Ebu angalia mapaja mazuri hayana chenga wala zengwe wabongo wivu unawasumbua.
 
DSC07255.JPG


Mashallah mtoto mzuri haswa anastahili kuongwa magari makali acheni wivu bana.Ebu angalia mapaja mazuri hayana chenga wala zengwe wabongo wivu unawasumbua.

Mbona kama hapo kama ni kwao au kwake compound haipati fagio, je compound yake inapata fagio?
 
DSC07255.JPG


Mashallah mtoto mzuri haswa anastahili kuongwa magari makali acheni wivu bana.Ebu angalia mapaja mazuri hayana chenga wala zengwe wabongo wivu unawasumbua.
Yaani hayo mapaja wewe acha tu mtoto mlaini sana na ngozi ya nyororo
 
Mwacheni ahongwe, kama yupo hapa anitafute nimuhonge Vogue.
 
Mbona kama hapo kama ni kwao au kwake compound haipati fagio, je compound yake inapata fagio?

ungepajua kwao ndugu usiombe........kwa tunaomjua huyu mtoto na wazaz wake tunasema...acha mtoto ahangaike maana............ila tu awe na adabu na tatizo kamejisahau kabisa

 
kwa umri alionao wala si mtoto kama mnavyomuita muacheni awe na maamuzi ya maisha yake,ila kwa uzuri wake hiyo gari si saizi yake kabisa na ukizingatia kijua ndo hiki asipouanika atautwanga mbichi
 
Hiki kitoto huwa kinapendeza sana machoni ila ni busara wakamuacha aendelee na maisha yake binafsi, tunashindwa kupambana na maisha magumu kwenye familia zetu tunakazana na hawa watu. Suppose amehongwa wengine tunapata hasara au faida gani? Yaacheni maisha binafsi yabaki ni binafsi atakaye muwahi basi afaidi tu matunda ya uumbaji!
 
Back
Top Bottom