Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

Mia Khalifa anajutia sana. Na hakupata hela nyingi kule,wala hakutoa videos nyingi
 
Ameen!ila ujue tayari kapigwa 666 kule kuruhusu Mtalimbo wa baharia kuelekea matopeni.
 
Usikute huyo mwanamme ni Gwajima ndiye aliyempiga picha na kusambaza mtandaoni
 
Basata wameuangalia mzigo.

Wameupataje? Hilo ndio swali.
 
Sijawahi on a video msanii akibadirisha pedi. Hizi mambo wao wenyewe wanazitaka na wana sambaza wao wenyewe
 
Nimetoka kusikiliza intvw wa aliyekuwa mume wake wa pili,jamaa ni Gentleman japokuwa mwandishi alikuwa ana mchokonoa lkn amemstiri sana Menina.


Ila najiulizaga hivi kwa nini wanawake ,wanapenda wanaume wahuni wahuni,pasta vichwa,wale wenye maneno mengi kama Mwijaku alafu wanawaacha watu wa maana,yaani sijui kwenye vichwa vyao huwaga wana wazaga nini.

Alafu kumbe video zile Menina ndiye aliyemtumia Mwijaku,sasa sijajua ndio alikuwa ana mtongoza ili amgonge,Mwijaku naye ndio akaamua kuziachia.

Ila dada zangu huwaga wanaponzwaga sana na maamuzi yao mabovu,yaani video ya masaa machache,iliyovujishwa na mpuuzi Mwijaku asiyejua thamani na utu wa Mwanamke,ishamshusha thamani Menina.

Alafu masistaa du na macelebrity wengi wa bongo wanazo hizi video tena wemejirekodi kwa utashi wao wenyewe,tena wengine wanazisambaza wenyewe,manake hizi video zishakuwa kama series hatujui kesho itakuwa zamu ya nani.
 
BASATA nao mda mwingine sijui wanawaza nini? Inabidi Watafute aliyevujisha sio aliyecheza au kufanya ngono Maana Kila mtu duniani na starehe Yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…