Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Kwani we ulitakaje?asiende fiesta halaf hela ya mtaji wa kujiajiri ungempa wewe?au asiende fiesta kisa rubby hajaenda?...kijana ambaye pamoja na usomi wake na uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya uchumi ameshaimba vibao vingi ambavyo kwa asilimia kubwa vinaamasisha vijana kufanya kazi na kuacha kuajiliwa leo hii yey mwenyew ananishangaza kupakiwa kweny gari la fiesta kwa wale wanyonyaji hiv yey mwenyew ajijui kuwa anatumiwa na watu wasioenda shule najua nikk shule unayo kipaji unacho ya nini tena ubabaishwe ni kutojiamini tu navyoona wasanii mnashindwa na aka kabinti ka ruby kamejitambua mapema yanini mashabiki wakuone kila siku unazungushwa kila mkoa af hauna hata kiwanja ukirudi dar hauna kitu
ni msomi lakini ana njaa kali na hana ujanja wa kupiga pesa kwa kutumia usomi wake haina namna lazima apande costa na man fongo.kijana ambaye pamoja na usomi wake na uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya uchumi ameshaimba vibao vingi ambavyo kwa asilimia kubwa vinaamasisha vijana kufanya kazi na kuacha kuajiliwa leo hii yey mwenyew ananishangaza kupakiwa kweny gari la fiesta kwa wale wanyonyaji hiv yey mwenyew ajijui kuwa anatumiwa na watu wasioenda shule najua nikk shule unayo kipaji unacho ya nini tena ubabaishwe ni kutojiamini tu navyoona wasanii mnashindwa na aka kabinti ka ruby kamejitambua mapema yanini mashabiki wakuone kila siku unazungushwa kila mkoa af hauna hata kiwanja ukirudi dar hauna kitu
Ilo nalo ni la msingi sanaKupata nafasi ya kutembea mikoani ni kujiongezea mashabiki katika soko lako la ajira. Baadae atajitengenezea base nzuri ya mashabiki wa mziki wake na hata akiamua kupiga show yake mwenyewe ni rahisi zaidi. 'Mtumikie kafiri upate ujira wako'
mi mwenye nawazaga kama wewe ivi jamaa angesoma kitu chenye chance ya ajira na mshahara mzuri angekataa kazi uyu?Nikki kasoma yale masomo mepesi ya kike unategemea nini.. Angesoma medicine. IT. Engineering. Law... Interview mademu 20 njemba 1
Hahahahahah hatareee sanaNikki kasoma yale masomo mepesi ya kike unategemea nini.. Angesoma medicine. IT. Engineering. Law... Interview mademu 20 njemba 1
Rubby hajui alitendalo.....kijana ambaye pamoja na usomi wake na uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya uchumi ameshaimba vibao vingi ambavyo kwa asilimia kubwa vinaamasisha vijana kufanya kazi na kuacha kuajiliwa leo hii yey mwenyew ananishangaza kupakiwa kweny gari la fiesta kwa wale wanyonyaji hiv yey mwenyew ajijui kuwa anatumiwa na watu wasioenda shule najua nikk shule unayo kipaji unacho ya nini tena ubabaishwe ni kutojiamini tu navyoona wasanii mnashindwa na aka kabinti ka ruby kamejitambua mapema yanini mashabiki wakuone kila siku unazungushwa kila mkoa af hauna hata kiwanja ukirudi dar hauna kitu
Sasa huyo ni msomi kijana yuko hivyo....... utamshangaaje Prof. Lipumba kung'ang'ania madaraka??? watanzania aliyeturoga alishakufa kitambo, tunayaishi tusiyoyazungumza na kuyazungumza tusiyoyaishi.......kijana ambaye pamoja na usomi wake na uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya uchumi ameshaimba vibao vingi ambavyo kwa asilimia kubwa vinaamasisha vijana kufanya kazi na kuacha kuajiliwa leo hii yey mwenyew ananishangaza kupakiwa kweny gari la fiesta kwa wale wanyonyaji hiv yey mwenyew ajijui kuwa anatumiwa na watu wasioenda shule najua nikk shule unayo kipaji unacho ya nini tena ubabaishwe ni kutojiamini tu navyoona wasanii mnashindwa na aka kabinti ka ruby kamejitambua mapema yanini mashabiki wakuone kila siku unazungushwa kila mkoa af hauna hata kiwanja ukirudi dar hauna kitu
Si aliimba kua hataki kazi.mbona nae anasombwa na fiesta ,hana lolote hakuna mwenye jeur ya kukataa ajiraKwani we ulitakaje?asiende fiesta halaf hela ya mtaji wa kujiajiri ungempa wewe?au asiende fiesta kisa rubby hajaenda?...nonsense.
Ajira ni ajira tu.ulipwenkwa mwezi,kwa siku kwa kazi kwa masaa au kwa mwaka .ye alisema mwenyewe hataki kaziJapo uwa simpendi kwa kujifanya anajua kila kitu ila napingana na mleta mada.
Tatizo hakuna mwenye hakika nikki na wenzake wanalipwa kiasi gani ni ushabiki tu.
Hata mbele wakiwa kwente tour wanatumiaga mabasi miji hado miji unless kama wanaenda umbali mrefu.
Sasa mlitaka wawapandishe ndege wakati kuna sehemu nchi hii fiesta inatimba lakini viwanja vya ndege hakuna.
Na jambo la kushangaza unakuta anayetoa ushauri hapa kaajiliwa kwa muhindi au serikalini anaamka saa 12 asubuhi kila siku kazini anasubiri aje apokee laki nane kwa mwezi, yeye kashindwa kujiajiri na kuona anavyo nyonywa lakini anamsema mwenzake.