Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Kijana ambaye pamoja na usomi wake na uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya uchumi ameshaimba vibao vingi ambavyo kwa asilimia kubwa vinaamasisha vijana kufanya kazi na kuacha kuajiliwa leo hii yeye mwenyewe ananishangaza kupakiwa kwenye gari la fiesta kwa wale wanyonyaji.
Hivi yeyi mwenyewe hajijui kuwa anatumiwa na watu wasioenda shule?
Najua Nikki shule unayo kipaji unacho ya nini tena ubabaishwe ni kutojiamini tu navyoona wasanii mnashindwa na haka kabinti ka Ruby kamejitambua mapema!!
Ya nini mashabiki wakuone kila siku unazungushwa kila mkoa alafu hauna hata kiwanja ukirudi Dar hauna kitu?
Hivi yeyi mwenyewe hajijui kuwa anatumiwa na watu wasioenda shule?
Najua Nikki shule unayo kipaji unacho ya nini tena ubabaishwe ni kutojiamini tu navyoona wasanii mnashindwa na haka kabinti ka Ruby kamejitambua mapema!!
Ya nini mashabiki wakuone kila siku unazungushwa kila mkoa alafu hauna hata kiwanja ukirudi Dar hauna kitu?