Msanii msomi Nikki wa Pili na Fiesta

Msanii msomi Nikki wa Pili na Fiesta

Hivi naomba kujua: jamaa ni PhD ama mwanafunzi wa PhD?
 
Japo uwa simpendi kwa kujifanya anajua kila kitu ila napingana na mleta mada.
Tatizo hakuna mwenye hakika nikki na wenzake wanalipwa kiasi gani ni ushabiki tu.
Hata mbele wakiwa kwente tour wanatumiaga mabasi miji hado miji unless kama wanaenda umbali mrefu.
Sasa mlitaka wawapandishe ndege wakati kuna sehemu nchi hii fiesta inatimba lakini viwanja vya ndege hakuna.
Na jambo la kushangaza unakuta anayetoa ushauri hapa kaajiliwa kwa muhindi au serikalini anaamka saa 12 asubuhi kila siku kazini anasubiri aje apokee laki nane kwa mwezi, yeye kashindwa kujiajiri na kuona anavyo nyonywa lakini anamsema mwenzake.
M3 per show
 
No offense but huwa najiuliza usomi wa huyu kijana uko wapi! Wengine wanauita genius [emoji32][emoji32].. vi maswali anavyovipost ig ni vya kutumia common sense tu.. tatizo ni kwamba common sense is not common.. but that doesn't make him a genius!
Nadhani unaufahamu uwezo wa kufikiri wa baadhi ya waTanzania, unafikiri kwanini wasimuone Nick genius!? SMH.
Nampenda Nick tho!
 
Kila mtu ana haki ya kuamua afanye nini ili mradi havunji sheria mi naona yuko sahihi
Sijui nyie mwakerwa na nini
 
Back
Top Bottom