peter palla
JF-Expert Member
- Sep 4, 2015
- 212
- 229
Na fid q nae nilkuwa namkubali ila tangu aingie kwenye kampeni za ccm,,mpaka leo nimemshusha vyeo kabisaKama aliweza kuishabikia Ccm pamoja nakujua kuwa ndyo chanzo cha shida tabu umaskini nak. sembuse kuwa chini ya Ruge
Hajajiajiri.kaajiriwa na luge amfanyie luge kazi yake alipwe ,na analipwa na luge. !inabid afute ule wimbo wake wa staki kazi aimbe natafta kazi hata za show
Aah si alisema mwenyewe hataki kuajiriwa , ataki kufanya kazi za watu. Aorganaizi show zake binafsi kama hawezi kuoganaiz show zake binafsi inabid atutake radhi na kufuta wimbo wake wa staki kazi.
Na fid q nae nilkuwa namkubali ila tangu aingie kwenye kampeni za ccm,,mpaka leo nimemshusha vyeo kabisa
Unafkiri ni swala la uchuga basi, ni baadhi tu ya watu wako na negative perceptions, jelousy, chuki na roho mbaya tu, wakishaona mtu anapata mafanikio lazma waongeeWatoto wa chugga hao... Walishampondea sana Joh makini Ila bado anashine kila siku... Wakishaona msanii yupo dar inawauma sana
Afu watu kama nyie ndio mnasababisha watu wa chuga waonekane wapuuzi kumbe ni we mwnywe unakua haujielewi, its like we ni msemaji wa chuga, acha mambo ya ajabu, usiwe na akili mgando, dunia inabadilika,Sio tunampondea Joh tunapondea wasanii wasiofata misingi mitano ya Hip Hop ... Dar sio issue mbona Jaymore, Songa, Nikki Mmbishi, Fid wanakubalika sana Chugga..Chugga hatutaki wasanii wa kiwack wanaotembelea nyota za Hip Hop kumbe mawaki wanaume wanaojiita watamu!!
FactWanaume mnampiga Jungu mwanaume mwenzenu...halafu wanawake ndo tunaitwa wambea na wanafiki wenye wivu juu ya wanawake wenzetu.Khaaaaa!
He chose that path,nyie inawakera nini.
Kinachowafanya mseme anajifanya anajua kila kitu ni nini?? Mtu kapewa chance ya kuzungumzia vitu kulingana na upeo wake na elimu yake..huko kujifanya kunatokea wapi??
Acheni wivu wa kike!!!!!
We ni mandazi nini?? Angalia hyo nlikuwa namjibu nini?? Mi siongelei uchuga wala unini!! Naongelea Hip Hop misingi huyo mraks mwenzako kaja na hoja ka zako ndo nkamjibu.... its so obvious wasanii wengi waliotoka kwa Hip Hop halisi wengi ni kutoka Chuga na ikajulikana kuwa Hip Hop has base in Arusha... nnachokataa ni wasanii wengine wanaofanya mziki wa kiwaki kusafiria nyota za Hip Hop base misingi iliyojengwa kwa jasho... ka ni wa chuga nafkir unajua harakatAfu watu kama nyie ndio mnasababisha watu wa chuga waonekane wapuuzi kumbe ni we mwnywe unakua haujielewi, its like we ni msemaji wa chuga, acha mambo ya ajabu, usiwe na akili mgando, dunia inabadilika,
[emoji2] [emoji2] Kumbe tatizo ni CCM?? Penda kazi yake Ndugu life lake personally mwachie mwnywNa fid q nae nilkuwa namkubali ila tangu aingie kwenye kampeni za ccm,,mpaka leo nimemshusha vyeo kabisa
Basi vice versa is true hao maarufu unaowasema!! hawana kitu huko mjini ni mboyoyo tu... Hip hop halisi wanajitambua na mashabiki wake ni real ...wanauza sana t shirt, Albams, mix tapes, concerts, show za kubufu na bado wanafanya kazi za kijamii sio zama zile mzee.. hebu wasapoti kwa kudownload Apllication inaitwa African Music Now usikilize Hip Hop halisi sio za kiwaki mnazolazimishwa kuskilizaHalafu wanaojifanya wako Real ndi Mawack kinoma, nakumbuka Roma alishawahi kusema hao hao wanaokutaka ukaze. Nadra sana kukupa sapot zaid wataishia kushangilia, hawanunui wataishia kudownload nyimbo na hutawaona kwenye show. Maisha yamechange na Music pia umechange. tumechoka kuona wasanii wa hip hop wanakufa hawana hata nyumba kwao.
Msanii hana uhuru yaani..hadi maisha yake binafsi watu wanataka kuya-control. Just imagine mtu anamkandia FidQ au Nikki wa Pili kwasababu alisupport CCM ..wakat hayo ni maamuzi yao.[emoji2] [emoji2] Kumbe tatizo ni CCM?? Penda kazi yake Ndugu life lake personally mwachie mwnyw
teh teh teh umenichekesha sanaAah si alisema mwenyewe hataki kuajiriwa , ataki kufanya kazi za watu. Aorganaizi show zake binafsi kama hawezi kuoganaiz show zake binafsi inabid atutake radhi na kufuta wimbo wake wa staki kazi.
AACHE FIESTA HALAFU AJE KULA NYUMBANI KWENU.Kijana ambaye pamoja na usomi wake na uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya uchumi ameshaimba vibao vingi ambavyo kwa asilimia kubwa vinaamasisha vijana kufanya kazi na kuacha kuajiliwa leo hii yeye mwenyewe ananishangaza kupakiwa kwenye gari la fiesta kwa wale wanyonyaji.
Hivi yeyi mwenyewe hajijui kuwa anatumiwa na watu wasioenda shule?
Najua Nikki shule unayo kipaji unacho ya nini tena ubabaishwe ni kutojiamini tu navyoona wasanii mnashindwa na haka kabinti ka Ruby kamejitambua mapema!!
Ya nini mashabiki wakuone kila siku unazungushwa kila mkoa alafu hauna hata kiwanja ukirudi Dar hauna kitu?
Nshakuelewa wewe,,,unataka nyimbo zake awe anapafom akiwa nyumbani kwake ndo utasema kajiajiri. Mimi naona kajiajiri na cloudz ni kama wateja ambao wanamuungishaHajajiajiri.kaajiriwa na luge amfanyie luge kazi yake alipwe ,na analipwa na luge. !inabid afute ule wimbo wake wa staki kazi aimbe natafta kazi hata za show
Hajajiajiri.kaajiriwa na luge amfanyie luge kazi yake alipwe ,na analipwa na luge. !inabid afute ule wimbo wake wa staki kazi aimbe natafta kazi hata za show
Hahah hapo kwenye " Mraks " atakua hajakuelewa akikuelewa atakaa kimyaaaWe ni mandazi nini?? Angalia hyo nlikuwa namjibu nini?? Mi siongelei uchuga wala unini!! Naongelea Hip Hop misingi huyo mraks mwenzako kaja na hoja ka zako ndo nkamjibu.... its so obvious wasanii wengi waliotoka kwa Hip Hop halisi wengi ni kutoka Chuga na ikajulikana kuwa Hip Hop has base in Arusha... nnachokataa ni wasanii wengine wanaofanya mziki wa kiwaki kusafiria nyota za Hip Hop base misingi iliyojengwa kwa jasho... ka ni wa chuga nafkir unajua harakat