hahaha ndio maana yupo yupo tu hajitambuiKasoma sociology kama SINTA wa juma necha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha ndio maana yupo yupo tu hajitambuiKasoma sociology kama SINTA wa juma necha
Hata inapotokea Wakuu wa nchi wanakutana wengi kwenye tukio moja hutumia bus maalum kwenda kwenye tukio.MBNA wabunge huwa wanatumia coaster kwenye shughuli zao za kamati hasa kwenda mikoani??? hii we unaionaje??? just bussiness
Nikki kasoma yale masomo mepesi ya kike unategemea nini.. Angesoma medicine. IT. Engineering. Law... Interview mademu 20 njemba 1
Jay z anastick kwenye misingi?Unawajua hao tu... Unamjua Chabba, Yuzzo, Fido, Mo plus, De wee nk nk wote hao sio maarufu wamestick kwenye misingi hawajataka kulamba miguu ya mababiloni na life yao ni far better kulko huyo msomi maarufu anaejiita switii
Concept ya Hiphop uliyonayo ni ya zamani sana huko 1970's na 1990's .... Sahizi mambo yamebadilika hata Nas au Jayz wa 2016 ni tofauti na wa 1990's..We kushine unakosemea ni kuwa maarufu kwenye radio za kiwaki?? Hebu acha wivu download Application ya African Music Now ... usikilize real hip hop wenzake ambao "hawashine" wana application, studio na wanaandaa show zao wenyewe, maproject kibao ya maana ka Okoa Kitaa, SUA nk nk
Hip hop aint change!! Kwani hao wa chuga hawatengenezi hela?? Wanazipiga kimya kimya!! Watengwa wanapiga shows kwenye mafestival mbefele, wanapiga shows za kutosha!! Project ziko mingi ushadownload application ya African Music Now?? Usikie project zao!! Wana hatua kuliko hao unaowasema wanatutangaza nje na show zao ndo maana wanaishia kumiliki vipaso... Nje tulishatangazwa na X plastaz long timeConcept ya Hiphop uliyonayo ni ya zamani sana huko 1970's na 1990's .... Sahizi mambo yamebadilika hata Nas au Jayz wa 2016 ni tofauti na wa 1990's..
Hiphop ni biashara kubwa Sasa waache kina Joh watengeneze pesa, infact sioni kama kuna wasanii wanaitangaza Arusha hapa Tz kama Weusi Ila cha kushangaza wakienda Arusha mnawadiss... Kweli nabii hakubaliki kwao.
Nadhani wewe uliendika hapa ni ke na ninaomba iwe hivo, lakini kama ni me harafu unatumia maneno kama
Umbea
Majungu
Kimbelembele nk,
Nina mashaka na wewe.
Haters wa Clouds mnashida sana na hii Fiesta huwa inawaamshia vidonda vya tumbo kabisa.
Kwani akinyonywa wewe inakuhusu nini?
Unakuta mtu hata pesa wanayolipwa haijui lakini anabana pua "Clouds wanyonyaji"
Kwa nini msianzishe Fiesta yenu muwe mnawapa kiasi wanachostahili na muwapeleke kwa ndege maanake hizi ngonjera haziwasaidii.
Hao wasionyonywa na Clouds mbona choka mbaya tu.
Hizi nyomi za Fiesta zitawauwa kwa kihoro.
Jinias ameleta nn kipya duniani au amechalenji nn hapa duniani .au jinias wa wajingaNo offense but huwa najiuliza usomi wa huyu kijana uko wapi! Wengine wanauita genius [emoji32][emoji32].. vi maswali anavyovipost ig ni vya kutumia common sense tu.. tatizo ni kwamba common sense is not common.. but that doesn't make him a genius!
hahahaaaaaaaa tabu kweli kweliKasoma sociology kama SINTA wa juma necha
Alisema ataki kazi ,hataki kuajiriwa .kaimba na wimbo kabisa .sasa kwa nn ameajiriwa nanfiesta kupiga show.si aanzishe zake kama anavosema .chuki, wivu ,ujinga na Mazoea kuwa ukifanya kazi ya sanaa unatakiwa usiwe msomi, Nyie mnaodharau kazi yake mlitaka afanye kazi ipi kama kazi anayofanya anaipenda na inamuingizia kipato.
Majungu,fitina&chuki binafsi!Kijana ambaye pamoja na usomi wake na uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya uchumi ameshaimba vibao vingi ambavyo kwa asilimia kubwa vinaamasisha vijana kufanya kazi na kuacha kuajiliwa leo hii yeye mwenyewe ananishangaza kupakiwa kwenye gari la fiesta kwa wale wanyonyaji.
Hivi yeyi mwenyewe hajijui kuwa anatumiwa na watu wasioenda shule?
Najua Nikki shule unayo kipaji unacho ya nini tena ubabaishwe ni kutojiamini tu navyoona wasanii mnashindwa na haka kabinti ka Ruby kamejitambua mapema!!
Ya nini mashabiki wakuone kila siku unazungushwa kila mkoa alafu hauna hata kiwanja ukirudi Dar hauna kitu?
Yani mtu akiongea jambo moja au mawili kuhusu uchumi basi ni mchambuzi wa uchumi? hivi amechambua nini kuhusu uchumi teh teh eti mchambuzi wa uchumi....hii nchi ina vituko sanaKijana ambaye pamoja na usomi wake na uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya uchumi ameshaimba vibao vingi ambavyo kwa asilimia kubwa vinaamasisha vijana kufanya kazi na kuacha kuajiliwa leo hii yeye mwenyewe ananishangaza kupakiwa kwenye gari la fiesta kwa wale wanyonyaji.
Hivi yeyi mwenyewe hajijui kuwa anatumiwa na watu wasioenda shule?
Najua Nikki shule unayo kipaji unacho ya nini tena ubabaishwe ni kutojiamini tu navyoona wasanii mnashindwa na haka kabinti ka Ruby kamejitambua mapema!!
Ya nini mashabiki wakuone kila siku unazungushwa kila mkoa alafu hauna hata kiwanja ukirudi Dar hauna kitu?
Hajajiajiri.kaajiriwa na luge amfanyie luge kazi yake alipwe ,na analipwa na luge. !inabid afute ule wimbo wake wa staki kazi aimbe natafta kazi hata za showHujui kuwa hiyo ni sehemu ya kujiajiri?
Anauza uwezo na kipaji chake cha sanaa na kuingiza mapato?
Kuna "mwajiri" na kuna "mteja"
Sijui unafahamu tofauti zake?
Alisema ataki kazi ,hataki kuajiriwa .kaimba na wimbo kabisa .sasa kwa nn ameajiriwa nanfiesta kupiga show.si aanzishe zake kama anavosema . Msomi uchwara
Aah si alisema mwenyewe hataki kuajiriwa , ataki kufanya kazi za watu. Aorganaizi show zake binafsi kama hawezi kuoganaiz show zake binafsi inabid atutake radhi na kufuta wimbo wake wa staki kazi.Nikki wa Pili ni mwanamuziki licha ya kusoma social science.Unataka asifanye muziki afanye nini sasa ili apate fedha za kuendesha maisha yake?
Kuna msanii hapa Tanzania anayeandaa show mwenyewe bila promo kutoka kwenye media au sponsor wengine?
Na koffi olomide ana masters ya mathematics ameamua kuimba .....Sean Paul ana Bachelor'ya Businesses but kaamua kuimba we endelea kumponda Nick wa 2