Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hivi masikio popo kazaa na mwanaume mmoja?Chuchunge ana watoto wawili baba tofauti huyo mwijaku kamwona dai pekee. Kiki nyingine bana pyeeep akachukue tu ka mtu kenyewe cheap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi masikio popo kazaa na mwanaume mmoja?Chuchunge ana watoto wawili baba tofauti huyo mwijaku kamwona dai pekee. Kiki nyingine bana pyeeep akachukue tu ka mtu kenyewe cheap
Hivi masikio popo kazaa na mwanaume mmoja?
msanii wa mafi mafi ndo akaitwa mwijakuMwijaku ndo nani ni msanii wa Nini hii nchi mbona ina wasanii wengi
Mmeenda report uzi utiwe kufuli,waoga nyieKati ya wanaume aliozaa nao kuna aliyemkana na kumnyima pesa za matumizi ya mtoto?
Mmeenda report uzi utiwe kufuli,waoga nyie
Ile mechi presha tupu. Sidhan kama ntaangalia.
Ile mechi presha tupu. Sidhan kama ntaangalia.
Atakuwa alikua amelewa huyu...Huyo hapo na vidosho wake wawili.
![]()
Tuliza, kesho tunampiga mtu bao mchana mchana. Mark my words, utakuja kuniambia hapa hapa.
Ushamuona anahangaika kulilia hela za pampers???Hivi masikio popo kazaa na mwanaume mmoja?
Ohooo naona dalili za baba wa tatu mtoto wa tatu... Safari inaendeleaAna andika Msanii Mwijaku baada ya kuona mahangaiko ya Hamisa.
- "My brother unaekimbia majukumu yako, usiniache kabisa nikamkaribia girlfriend wako uliemzalisha na kumkimbia ukidhani hana thamani tena. Nikimkaribia mwanao uliemkimbia, nitamtunza. :
- .
Kama anasoma shule ya kawaida nitampeleka Private school, kama hana nguo nzuri nitampigisha pamba za ukweli. Jumamosi usiku wewe ukiwa unakula bata na warembo wengine me nitacheza nae playstation, nitahakikisha anapata elimu bora, nitamlea katika maadili yampasayo. Kwa kuwa mama yake ulimzalisha ukadhani hana thamani tena na huku ukimpiga vita kwa kila shughuli zake ndogo za kumuingizia kipato yeye na mama yake bila kusahau mtoto.
:
.
me nitamuinua viwango vya juu na kumfanya awe bosslady. Na muda nitakaokuwa nimemaliza yote, mwanao atakua akikuita UNCLE na mimi ataniita DAD, girlfriend uliemuacha atakuita KIPUSA HEARTBREAKER na mimi ataniita MIGHTY KING..i will surely erase you little Boy! tusichukuliane poa"
Zinakupa kiki jf?Nani karipoti? Mie huwa napenda ligi hivyo maana zinanipa kiki za kutosha itakua wewe mwenyewe ndo ulilalamika uzi wako umekuelemea so mods wakakuhurumia maana ulikua unatia huruma kweli
Hujajibu swali