Msanii Mwijaku ajitolea kumlea Hamisa na Mwanae amuonya Diamond asije kumuulizia mtoto

Msanii Mwijaku ajitolea kumlea Hamisa na Mwanae amuonya Diamond asije kumuulizia mtoto

Wekeni picha yake tumjue. I guess atakuwa na sura za kutafuta kiki kama za Hamorapa au Dr Shika
 
Watoto saba,wawili wa kufikirika na bado mzuri. Zari slayiiiiing like a Queen. Bwahahahhahahahahahahah

kumbe wewe sio mzuri??

kwakifupi huyu "masikio popo" amepata mtu wa kumnyoosha hasa hadi imebidi amuweke ben10 wake kwenye probation.
 
Zari mzuri bana ikikuuuma kamtegeshee dai mimba bwahahahahaaaa
kumbe wewe sio mzuri??

kwakifupi huyu "masikio popo" amepata mtu wa kumnyoosha hasa hadi imebidi amuweke ben10 wake kwenye probation.
 
Nasikia nawe upo kwenye folen ya jazwa ujazwe na dai karanga mweeee. Atakufaidije doookooo

Zari tajiri bana hadi madale anamiliki kitanda
yes kweli Zari ni mzuri ndiyo maana low life chick wamepandishwa kitandani kwake na wakapatia mimba hapo-hapo.
 
Basata kuna msanii kasajiliwa anaitwa Mwijaku?
Jina jipya hili kwangu, ila jamaa anazitafuta kick kwa nguvu na sijui kama zitamkubali.
 
Ndezi kama hawa kama mimi ni diamond namtia ndani mmoja wa mfano unless anaweza kuthibitisha hayo maneno yake bila kupepesa.... hovyo, jitu zima bongo movie imewashinda ataweza kulea mbegu za mwanaume mwenzie? Azae wake au akachukue yatima wamejaa.
Mtu mzima akili kisoda... shame!
 
Jamani mbona Hamisa hajawahi kuwa girl friend wa Diamond, yule alikuwa ni kipozeo tu....yaani wa kupiga na kumkimbia kwa kupitia dirishani ama uwani na kumwacha solemba.
 
Back
Top Bottom