Msanii Mwijaku ajitolea kumlea Hamisa na Mwanae amuonya Diamond asije kumuulizia mtoto

Msanii Mwijaku ajitolea kumlea Hamisa na Mwanae amuonya Diamond asije kumuulizia mtoto

Ndezi kama hawa kama mimi ni diamond namtia ndani mmoja wa mfano unless anaweza kuthibitisha hayo maneno yake bila kupepesa.... hovyo, jitu zima bongo movie imewashinda ataweza kulea mbegu za mwanaume mwenzie? Azae wake au akachukue yatima wamejaa.
Mtu mzima akili kisoda... shame!


Ukiona jitu kama hili linaongea maneno asiyoyajuwa basi juwa kuwa anatafuta kick au hana uwezo wa kuzaa. Hamisa anakimbiwa na wanaume kwa sababu ni kicheche asiyejitambua. HAKUNA mwanamme anayeweza kuoa HAMISA kwa sababu hakuna anayetaka kuchapiwa kutokana na demu mwenyewe kutojithamini na kukosa msimamo. Mtu analilia umaarufu kwa kupitia michango ya watu, si ujiga huu? Hivi huyu Hamisa ana Mama au hata ndugu wa kumpa mawazo tu?
 
Ana andika Msanii Mwijaku baada ya kuona mahangaiko ya Hamisa.
  • "My brother unaekimbia majukumu yako, usiniache kabisa nikamkaribia girlfriend wako uliemzalisha na kumkimbia ukidhani hana thamani tena. Nikimkaribia mwanao uliemkimbia, nitamtunza. :
  • .
    Kama anasoma shule ya kawaida nitampeleka Private school, kama hana nguo nzuri nitampigisha pamba za ukweli. Jumamosi usiku wewe ukiwa unakula bata na warembo wengine me nitacheza nae playstation, nitahakikisha anapata elimu bora, nitamlea katika maadili yampasayo. Kwa kuwa mama yake ulimzalisha ukadhani hana thamani tena na huku ukimpiga vita kwa kila shughuli zake ndogo za kumuingizia kipato yeye na mama yake bila kusahau mtoto.
    :
    .
    me nitamuinua viwango vya juu na kumfanya awe bosslady. Na muda nitakaokuwa nimemaliza yote, mwanao atakua akikuita UNCLE na mimi ataniita DAD, girlfriend uliemuacha atakuita KIPUSA HEARTBREAKER na mimi ataniita MIGHTY KING..i will surely erase you little Boy! tusichukuliane poa"
motto wa Diamond anajulikana zaidi kulko huyo msanii MWANJUKI anatafuta kujuikana tu!
 
Ana andika Msanii Mwijaku baada ya kuona mahangaiko ya Hamisa.
  • "My brother unaekimbia majukumu yako, usiniache kabisa nikamkaribia girlfriend wako uliemzalisha na kumkimbia ukidhani hana thamani tena. Nikimkaribia mwanao uliemkimbia, nitamtunza. :
  • .
    Kama anasoma shule ya kawaida nitampeleka Private school, kama hana nguo nzuri nitampigisha pamba za ukweli. Jumamosi usiku wewe ukiwa unakula bata na warembo wengine me nitacheza nae playstation, nitahakikisha anapata elimu bora, nitamlea katika maadili yampasayo. Kwa kuwa mama yake ulimzalisha ukadhani hana thamani tena na huku ukimpiga vita kwa kila shughuli zake ndogo za kumuingizia kipato yeye na mama yake bila kusahau mtoto.
    :
    .
    me nitamuinua viwango vya juu na kumfanya awe bosslady. Na muda nitakaokuwa nimemaliza yote, mwanao atakua akikuita UNCLE na mimi ataniita DAD, girlfriend uliemuacha atakuita KIPUSA HEARTBREAKER na mimi ataniita MIGHTY KING..i will surely erase you little Boy! tusichukuliane poa"
Laana mpk kizazi cha nne Diamond babake si alimkataa mzizi unaendelea.
 
Aliyesema Diamond anakimbia majukumu Nani huyo mwijagu asijihashue alishawahi kuona watoto wa mke na side chick wakawa sawa? Kila mtu Apambane na Hali yake
 
MWAnjiku ndio nani?tafadhali anayejua anifahamishe.
 
Mwijak
Ana andika Msanii Mwijaku baada ya kuona mahangaiko ya Hamisa.
  • "My brother unaekimbia majukumu yako, usiniache kabisa nikamkaribia girlfriend wako uliemzalisha na kumkimbia ukidhani hana thamani tena. Nikimkaribia mwanao uliemkimbia, nitamtunza. :
  • .
    Kama anasoma shule ya kawaida nitampeleka Private school, kama hana nguo nzuri nitampigisha pamba za ukweli. Jumamosi usiku wewe ukiwa unakula bata na warembo wengine me nitacheza nae playstation, nitahakikisha anapata elimu bora, nitamlea katika maadili yampasayo. Kwa kuwa mama yake ulimzalisha ukadhani hana thamani tena na huku ukimpiga vita kwa kila shughuli zake ndogo za kumuingizia kipato yeye na mama yake bila kusahau mtoto.
    :
    .
    me nitamuinua viwango vya juu na kumfanya awe bosslady. Na muda nitakaokuwa nimemaliza yote, mwanao atakua akikuita UNCLE na mimi ataniita DAD, girlfriend uliemuacha atakuita KIPUSA HEARTBREAKER na mimi ataniita MIGHTY KING..i will surely erase you little Boy! tusichukuliane poa"
Mwijaku ndo nani? Jina lenyewe limekaa kama la sehemu za siri....
 
Ana andika Msanii Mwijaku baada ya kuona mahangaiko ya Hamisa.
  • "My brother unaekimbia majukumu yako, usiniache kabisa nikamkaribia girlfriend wako uliemzalisha na kumkimbia ukidhani hana thamani tena. Nikimkaribia mwanao uliemkimbia, nitamtunza. :
  • .
    Kama anasoma shule ya kawaida nitampeleka Private school, kama hana nguo nzuri nitampigisha pamba za ukweli. Jumamosi usiku wewe ukiwa unakula bata na warembo wengine me nitacheza nae playstation, nitahakikisha anapata elimu bora, nitamlea katika maadili yampasayo. Kwa kuwa mama yake ulimzalisha ukadhani hana thamani tena na huku ukimpiga vita kwa kila shughuli zake ndogo za kumuingizia kipato yeye na mama yake bila kusahau mtoto.
    :
    .
    me nitamuinua viwango vya juu na kumfanya awe bosslady. Na muda nitakaokuwa nimemaliza yote, mwanao atakua akikuita UNCLE na mimi ataniita DAD, girlfriend uliemuacha atakuita KIPUSA HEARTBREAKER na mimi ataniita MIGHTY KING..i will surely erase you little Boy! tusichukuliane poa"
Kuna harufu ya team za kibongo bila shaka.
 
Bongo kuna wasanii wengi sana! Huyu majaku ni msanii wa sanaa gani!?
 
Mtu mzima huyo tayari aisee ,
 
Back
Top Bottom