Msanii Mwijaku ajitolea kumlea Hamisa na Mwanae amuonya Diamond asije kumuulizia mtoto

Msanii Mwijaku ajitolea kumlea Hamisa na Mwanae amuonya Diamond asije kumuulizia mtoto

Ana andika Msanii Mwijaku baada ya kuona mahangaiko ya Hamisa.
  • "My brother unaekimbia majukumu yako, usiniache kabisa nikamkaribia girlfriend wako uliemzalisha na kumkimbia ukidhani hana thamani tena. Nikimkaribia mwanao uliemkimbia, nitamtunza. :
  • .
    Kama anasoma shule ya kawaida nitampeleka Private school, kama hana nguo nzuri nitampigisha pamba za ukweli. Jumamosi usiku wewe ukiwa unakula bata na warembo wengine me nitacheza nae playstation, nitahakikisha anapata elimu bora, nitamlea katika maadili yampasayo. Kwa kuwa mama yake ulimzalisha ukadhani hana thamani tena na huku ukimpiga vita kwa kila shughuli zake ndogo za kumuingizia kipato yeye na mama yake bila kusahau mtoto.
    :
    .
    me nitamuinua viwango vya juu na kumfanya awe bosslady. Na muda nitakaokuwa nimemaliza yote, mwanao atakua akikuita UNCLE na mimi ataniita DAD, girlfriend uliemuacha atakuita KIPUSA HEARTBREAKER na mimi ataniita MIGHTY KING..i will surely erase you little Boy! tusichukuliane poa"

Kwa nini hamsemi yule mwingine? Huyu hamisa anazaaga kila mtoto na babake. Msimu kama huu waka unaofuata, naye atakuwa amezalisha na kusepa!. Hapa anatafuta gia ya kuingilia kuona nini kinawafanya wanaume wenzake wazalishe na kuingia mitini.

Lakini jambo la msingi ni kwamba huyu msichana anajiharibia maisha kwa tabia zake za kiswahili cha kipumbavu. Anatabia za kipumbavu sana kiasi hakuna mtu msitaarabu atadumu naye. Pengine apate mshamba mshamba mswahili mwezake.

La pili, kwa watoto wanaozaliwa namama ambaye kichwani hazimo, unaweza kumaliza shule zote na ukatumia fedha zako zote kulipia gharama za shule lakini wasisaidike. Kusoma ni akli. Mama kichwani sifuri, unategemea kwa 100% atazaa watoto wenye uwezo wa kusoma?

Ushauri wangu, hao wa baba waliozaa naye, watambue walizaa na juha. Hivyo wanahitaji kutumia nguvu kubwa mmno katika kuboresha maisha ya watoto waliozaa naye. Njia pekee ya kufanikisha angalau kwa sehemu, ni kuwachukua hao watoto,ili kuwalea katika mazingira yenye mwanga. Kumbuka mtu hukua kwa misingi ya kurithi ama mazingira. Mirathi ya ufahamu kwa upande wa mama sifuri. Wakiwachukua wangali wadogo, wanaweza kupata misingi yenye muelelkeo kutokana na mazingira watakayokulia. La sivyo, kumwachia mabeto alee watoto, aliowazaa peke yake, tegemea vichwa hoho kama upeo wa mama yao.
 
Mwijaku bwana amuhamishe kwanza yule single mother wake pale tigo customer care maana mdada anenepi kisa stress za wateja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji6]
 
Kumbe kwa hamisa ya mtandaon ya uongo ila kwa zari ya mtandaon ya ukweli aiseeee
Kwani majizo hatoi matumizi
Daimond hatoi matumiz au we unafata ya mtandaoni
Hamisa anapendeza bure tu
 
Yeah dully handsome. Mie siwez mtukana mtoto(i think u mention dully for this purpose sorry) mtoto ni malaika hana kosa.
Yaan dai asitoe matumizi kwa dully ,,,halaf dully handsome kweli
 

Attachments

  • IMG-20171223-WA0011.jpg
    IMG-20171223-WA0011.jpg
    45.3 KB · Views: 38
Back
Top Bottom