Msanii namba 1 Afrika kwa sasa, Diamond Platnumz ajenga nyumba ya Ibada (Msikiti)

Je ! hiyo biashara ya huo muziki anaoufanya kwa sheria za dini ni " HALAL" Kama ndio good job na amepata thawabu zake, kama sio wanazuoni wanazungumziaje kuhusu zawadi hiyo waamini waliopwa ila wawe wanaswalia hapo?
Muziki haramu.ila hauwezi jua.labda hizo hela amewaambiwa ametoa kwenye biashara zake.
 
Mtu anapofanya jambo la kheri mlipaji ni mungu ndie atakae amua uhalali na ukharamu wake sisi tunaweza kudhania tu siri ni yeye na mungu,mpeni moyo siku moja atavua hirini na vidani.
 
Ali Kiba naskia anatoa mikopo kwa wanafunzi wa chuo kikuu walio kosa mkopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…