Msanii Nash MC kwanini hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa?

Msanii Nash MC kwanini hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa?

Ana watu wake anaowauzia album na ana watu wake anaowafanyia Show, huwezi kumuelewa Nash hata siku moja km humfuatilii vizuri, alafu usisahau Nash sio Zuchu anaepakwa mate watu wanaingiza nyoka Pangoni
"Ndugu waandishi nawashukuru sana na huwa siyo rahisi kunihoji ana kwa ana, kwasababu mi na media kitambo tushaachana walipoanza tu kuwapa nafasi mapimbi na kuwabagua wanaojua kisa hawana shilingi"- Maalim
 
Wasanii wa HipHop kibongo bongo ni wabishi kwelikweli. Yaani unapoleta mambo za kumshauri afanye kitu kulingana na wakati unatakaje, anaona kama unamtoa kwenye reli na hivyo anakujibu kuonesha kuwa anachokifanya ndicho sahihi - JIWE type.

Mwaka 2015 niliwahi mwambia Nikki Mbishi aka Zohan kubadili muundo wa muziki wake na kuufanya kibiashara akaleta majibu kama hizo kuwa anafanya kwa wanaopenda na sio kwa wote. Ajabu, role model wao unakuta ni Dr. Dre ambaye sasa anafanya nyimbo za kuendana na wakati ila wao hawataki, wanakomaa na 'misingi', sishangai Nash Mc kukataa kuuza album kisasa, ni utaratibu wao 'ku-keep it real.'
Nime react "love" kwa comment kutokana na hizo replies za Nikki Mbishi kwenye hiyo screenshot, na sio hayo maneno uliyoyaandika.

Hivi ndivyo mnavyostahili kujibiwa watu wa aina hii

Dr Dre akifanya haina maana na mwingine inabidi afanye, why usijuilize kwanini Dr Dre hafanyi kama Nikki mbishi?

Wakina Boshoo wanaimba hizo unazozitaka wewe tena kwa lyrical nzuri kuliko hao mainstreams, lakini kuna uwezekano ukawa hata humjui

Na hata kama unamjua basi humfuatilii

Kilichofanya wewe mpaka ukamhua Nikki ni aina hiyo ya muziki ambao unataka abadilike

Ukiona kama hafanikiwi basi angalia hao wasanii wa mtaani kwako wanaobana pua utaona wanatamani kufikia level yake

Kwanini hawajulikani kiasi wanazidiwa fame na Nikki wakati wanaimba soft ambazo wewe ndio unaona zinabamba?
 
Labda sio hela itokanayo na muziki lakini hela ya muziki haijifichi maana takwimu ziko wazi.
Nilimwambia mwamba, ila aliniona hamnazo eti hao jamaa wanapiga mpunga mrefu sana tu kwa kuuza kwao whatsapp.

Niliishia kushangaa tu.
 
Nime react "love" kwa comment kutokana na hizo replies za Nikki Mbishi kwenye hiyo screenshot, na sio hayo maneno uliyoyaandika.

Hivi ndivyo mnavyostahili kujibiwa watu wa aina hii

Dr Dre akifanya haina maana na mwingine inabidi afanye, why usijuilize kwanini Dr Dre hafanyi kama Nikki mbishi?

Wakina Boshoo wanaimba hizo unazozitaka wewe tena kwa lyrical nzuri kuliko hao mainstreams, lakini kuna uwezekano ukawa hata humjui

Na hata kama unamjua basi humfuatilii

Kilichofanya wewe mpaka ukamhua Nikki ni aina hiyo ya muziki ambao unataka abadilike

Ukiona kama hafanikiwi basi angalia hao wasanii wa mtaani kwako wanaobana pua utaona wanatamani kufikia level yake

Kwanini hawajulikani kiasi wanazidiwa fame na Nikki wakati wanaimba soft ambazo wewe ndio unaona zinabamba?
Alishaimba Nyakati za Mashaka akiwa Sister G Matata ndio km hizi mkuu, new generation inataka iimbiwe mziki wao kwa regeneration yao wenyewe
 
Ana watu wake anaowauzia album na ana watu wake anaowafanyia Show, huwezi kumuelewa Nash hata siku moja km humfuatilii vizuri, alafu usisahau Nash sio Zuchu anaepakwa mate watu wanaingiza nyoka Pangoni

Nilimwambia mwamba, ila aliniona hamnazo eti hao jamaa wanapiga mpunga mrefu sana tu kwa kuuza kwao whatsapp.

Niliishia kushangaa tu.
Muziki ni watu na watu ndo hela yenyewe.
Hauwezi pata hela nyingi una wafuasi 500 whatsapp uzidi yule ambaye wano-stream ni zaidi ya 200M huko audiomack, boomplay n.k
 
Muziki ni watu na watu ndo hela yenyewe.
Hauwezi pata hela nyingi una wafuasi 500 whatsapp uzidi yule ambaye wano-stream ni zaidi ya 200M huko audiomack, boomplay n.k
500 × 30,000 = ?!
500 × 20,000 = ?!
500 × 15,000 = ?!
 
Kitu pekee nachojua kuhusu Nash Mc anabase yake ya watu kadhaa ambao lazima wanunue either flash,Cd and T.shirts na amechagua kuwa hivyo na anaridhika na mfumo wake huo ambao unasema ni uzamani.
Pia anaishi anachokiamini na wala hana shida na hadhira isiyomuelewa.
 
Ana watu wake anaowauzia album na ana watu wake anaowafanyia Show, huwezi kumuelewa Nash hata siku moja km humfuatilii vizuri, alafu usisahau Nash sio Zuchu anaepakwa mate watu wanaingiza nyoka Pangoni
Acha ujinga hapati pesa ya maana
 
1 dollar per thousand Streams ni upuuzi kwa msanii aina ya Nash. Nash ana aoko lake hata akiuza album kupitia whatsapp kuna faida anaipata kulinganisha na akiiweka kwenye streaming platform, kuweka muziki kwenye streaming platform inalipa sana kama una mashabiki wa kutosha
 
Huyu bwana sidhani kama anapata hela ya kufanyia kazi zake za sanaa kwenye muziki ila nadhani ana njia zake nyingine za kumpa mkate wa kila siku.

Sijawahi sikia akifanya show au akiuza kazi zake kwa njia za kisasa.

Tumuombe arudi kijijini kwao Chigugu huko Masasi akapate upya ushauri wa wazee huenda akabadilika
EF9982F2-7D3C-4782-8BD6-5CA7672C17ED.jpeg
 
Basi kama huo wote ni mzigo wa flash zilizojaa kazi zake, huyu bwana akiuza zote kwa bei hiyo anatisha.

Ila hiyo bei ya 25k @ flash inanipa wasiwasi kama ana washabiki wa kuweza nunua kazi zote.
Basi sawa.
 
Ukweli ni kwamba wabongo wengi hatununui kazi za wasanii, iwe michoro, music n.k, hatusapoti juhudi zao, kama si hizi platform za music kama YouTube ambazo tunachangia kwa lazima hakuna namna tunanunua kazi zao za sanaa.

Nyingi tulizonazo kwe devices zetu tumepakua bure tu, bila kulipia.

Mimi binafsi nimenunua Album ya kwanza ya Nikki Mbishi, Dizasta, Nash Mc 'Diwani ya Maalimu' na hii mpya 'Mhadhiri'

Ukisikiliza kazi zao utaheshimu juhudi zao katika uandishi na uwasilishaji wao na hivyo wanastahili kufaidi jasho lao.

Ila pamoja na njia wanayotumia sasa kuuza kazi zao, wanatakiwa waboreshe njia rahisi zaidi kuwafikia wateja wao; kila mmoja anaweza kuwa na website yake ambayo anaweka kazi zake huko kwaajili ya kuhifadhi, kuStream na kuuza kwa kufanya malipo moja kwa moja mtandaoni.
 
Siyo Nash tu, hata Niki Mbishi pia anauza nyimbo zake whatsap. Mimi simshangai hapo, kwani ameona ndio njia inayofaa na inampatia kipato kzuri.
Ninazungumza na Niki, na juzi nimennua Album ya kigu. Ukimuuliza Niki anakwambia kuuza direct mwenyewe anaona inamlipa na inamuongezea mashabk kla siku.
Hivi akiuza whatsap kuna namna anaizuia ili usimtumie mtu mwengine? Au inakuwaje kulinda nyimbo zake zisiwafikie ambao hawajalipa
 
Back
Top Bottom