Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,782
- 3,199
Mshauri pia awe anaoga na kuvaa vizuri anatia kinyaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu 500 WhatsApp wakinunua album tsh elfu kumi kila mmoja,mapato yake in zaidi ya streams million 1 za boomplay ...usijifanye unakua biashara ambayo huifanyi..digital platforms zinalipa kidogo sana,kwa watu wanao generate viewers wachache kama rappers wa tz bora wauze directMuziki ni watu na watu ndo hela yenyewe.
Hauwezi pata hela nyingi una wafuasi 500 whatsapp uzidi yule ambaye wano-stream ni zaidi ya 200M huko audiomack, boomplay n.k
Ushanunua albam mkuuNash Mc ni miongoni mwa wasanii top 3 ya Hiphop bongo ninao wakubali nakufuatilia kazi zao zote wanazozifanya.
Nash Mc, hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa, mfano nyimbo zake anauza whasap badala ya kuziweka ktk plattform za kuuzia mziki kama boomplay, audiomack au spotfy.
Cha ajabu zaidi ni kwamba hasikilizi ushauri wa mashabiki wake hata kidogo. Mfano anataka kutoa album lkn ukimwambia iweke boomplay anakwambia imba yako ukaiweke!!
Hivi huu ni ushamba au ujanja? Wasanii wote wanaojielewa wanaweka kazi zao huko ila nash allamechagua njia ya kuuza nyimbo zake whasap.
NASH Mc najua mtu kama ww lazima utakuwa humu JF, mimi ni shabiki yako mkubwa na ninapenda uimbaji wako lkn jaribi kubadilka kuwa wa kisasa kama wasanii wengine.
Wewe ndio mshamba na Hakuna unachokifahamu kuhusu biashara ya Muziki. Anachokifanya Nash Mc kimeshafanywa na wengi sana hata huko Duniani. Nippsey Hussle, Immortal Technique, Zuby, KRS One, Rakim na wengine kibao ndio wanafanya hivyo kwa kuuza kazi zao wenyewe. Huko sijui Boom Play,Mkito, Spotify nk kuna unyonyaji sana na wanaofaidika zaidi ni wenye hizo platform na watu wa kati(Mameneja na Madalali wa Music).Nash Mc ni miongoni mwa wasanii top 3 ya Hiphop bongo ninao wakubali nakufuatilia kazi zao zote wanazozifanya.
Nash Mc, hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa, mfano nyimbo zake anauza whasap badala ya kuziweka ktk plattform za kuuzia mziki kama boomplay, audiomack au spotfy.
Cha ajabu zaidi ni kwamba hasikilizi ushauri wa mashabiki wake hata kidogo. Mfano anataka kutoa album lkn ukimwambia iweke boomplay anakwambia imba yako ukaiweke!!
Hivi huu ni ushamba au ujanja? Wasanii wote wanaojielewa wanaweka kazi zao huko ila nash allamechagua njia ya kuuza nyimbo zake whasap.
NASH Mc najua mtu kama ww lazima utakuwa humu JF, mimi ni shabiki yako mkubwa na ninapenda uimbaji wako lkn jaribi kubadilka kuwa wa kisasa kama wasanii wengine.
Kwani anakula kwako ?Nash Mc ni miongoni mwa wasanii top 3 ya Hiphop bongo ninao wakubali nakufuatilia kazi zao zote wanazozifanya.
Nash Mc, hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa, mfano nyimbo zake anauza whasap badala ya kuziweka ktk plattform za kuuzia mziki kama boomplay, audiomack au spotfy.
Cha ajabu zaidi ni kwamba hasikilizi ushauri wa mashabiki wake hata kidogo. Mfano anataka kutoa album lkn ukimwambia iweke boomplay anakwambia imba yako ukaiweke!!
Hivi huu ni ushamba au ujanja? Wasanii wote wanaojielewa wanaweka kazi zao huko ila nash allamechagua njia ya kuuza nyimbo zake whasap.
NASH Mc najua mtu kama ww lazima utakuwa humu JF, mimi ni shabiki yako mkubwa na ninapenda uimbaji wako lkn jaribi kubadilka kuwa wa kisasa kama wasanii wengine.
Hamna kitu kama hicho.... Jamaa choka mbaya tupo naye kitaa .... Music haujifich. Achen uongo.Ana watu wake anaowauzia album na ana watu wake anaowafanyia Show, huwezi kumuelewa Nash hata siku moja km humfuatilii vizuri, alafu usisahau Nash sio Zuchu anaepakwa mate watu wanaingiza nyoka Pangoni
Mleta uzi kakurupuka sana na hajui kitu. Ni wa Kumignore tu.Huko boomplay unalipwa sh ngap kwa nyimbo au downloads?
Je Hawa blogger wa bongo wanaziweka tunashusha for free hapo inakuaje
Basi jamaa atajisikia Sana leoView attachment 2450612
View attachment 2450613
MAONI YA MDAU YAHESHIMIWE [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sahihi kabisaHamna isipokua wengi mashabiki zake wanakua ni waaminifu hawatumi kwa mtu mwingine
Hamna isipokua wengi mashabiki zake wanakua ni waaminifu hawatumi kwa mtu mwingine
Utakuta wewe Ni nash"ungejua napotokea... Temekeeee!! heshima ungeniongezea.. eenhee"
Oy tununueni album bwana, me najichanga nikanunue
Kwanini anapenda kutaja Chigugu Masasi?Huyu ni Nshomile aliyekulia Temeke huko.