Msanii Nash MC kwanini hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa?

Msanii Nash MC kwanini hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa?

Muziki ni watu na watu ndo hela yenyewe.
Hauwezi pata hela nyingi una wafuasi 500 whatsapp uzidi yule ambaye wano-stream ni zaidi ya 200M huko audiomack, boomplay n.k
Watu 500 WhatsApp wakinunua album tsh elfu kumi kila mmoja,mapato yake in zaidi ya streams million 1 za boomplay ...usijifanye unakua biashara ambayo huifanyi..digital platforms zinalipa kidogo sana,kwa watu wanao generate viewers wachache kama rappers wa tz bora wauze direct
 
Nash Mc ni miongoni mwa wasanii top 3 ya Hiphop bongo ninao wakubali nakufuatilia kazi zao zote wanazozifanya.

Nash Mc, hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa, mfano nyimbo zake anauza whasap badala ya kuziweka ktk plattform za kuuzia mziki kama boomplay, audiomack au spotfy.

Cha ajabu zaidi ni kwamba hasikilizi ushauri wa mashabiki wake hata kidogo. Mfano anataka kutoa album lkn ukimwambia iweke boomplay anakwambia imba yako ukaiweke!!

Hivi huu ni ushamba au ujanja? Wasanii wote wanaojielewa wanaweka kazi zao huko ila nash allamechagua njia ya kuuza nyimbo zake whasap.

NASH Mc najua mtu kama ww lazima utakuwa humu JF, mimi ni shabiki yako mkubwa na ninapenda uimbaji wako lkn jaribi kubadilka kuwa wa kisasa kama wasanii wengine.
Ushanunua albam mkuu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
huyo jamaa ni muhaya anayejiona kawazidi wote alafu ni mshika dini
 
Nash Mc ni miongoni mwa wasanii top 3 ya Hiphop bongo ninao wakubali nakufuatilia kazi zao zote wanazozifanya.

Nash Mc, hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa, mfano nyimbo zake anauza whasap badala ya kuziweka ktk plattform za kuuzia mziki kama boomplay, audiomack au spotfy.

Cha ajabu zaidi ni kwamba hasikilizi ushauri wa mashabiki wake hata kidogo. Mfano anataka kutoa album lkn ukimwambia iweke boomplay anakwambia imba yako ukaiweke!!

Hivi huu ni ushamba au ujanja? Wasanii wote wanaojielewa wanaweka kazi zao huko ila nash allamechagua njia ya kuuza nyimbo zake whasap.

NASH Mc najua mtu kama ww lazima utakuwa humu JF, mimi ni shabiki yako mkubwa na ninapenda uimbaji wako lkn jaribi kubadilka kuwa wa kisasa kama wasanii wengine.
Wewe ndio mshamba na Hakuna unachokifahamu kuhusu biashara ya Muziki. Anachokifanya Nash Mc kimeshafanywa na wengi sana hata huko Duniani. Nippsey Hussle, Immortal Technique, Zuby, KRS One, Rakim na wengine kibao ndio wanafanya hivyo kwa kuuza kazi zao wenyewe. Huko sijui Boom Play,Mkito, Spotify nk kuna unyonyaji sana na wanaofaidika zaidi ni wenye hizo platform na watu wa kati(Mameneja na Madalali wa Music).
Nash MC anauza mziki wake kwa Package moja ya Album kwa Tsh 25,000/= akifanikiwa kuwauzia watu 1000 tu nadhani utakuwa unafahamu pesa atakayopata kama faida lakini huko unakotaka wewe akaweke muziki wake unafahamu copy ya Album moja yeye anapata sh ngapi au hujui?
Fanya utafiti kabla hujakurupuka kuandika upupu.
 
Nash Mc ni miongoni mwa wasanii top 3 ya Hiphop bongo ninao wakubali nakufuatilia kazi zao zote wanazozifanya.

Nash Mc, hataki kubadilika kuwa msanii wa kisasa, mfano nyimbo zake anauza whasap badala ya kuziweka ktk plattform za kuuzia mziki kama boomplay, audiomack au spotfy.

Cha ajabu zaidi ni kwamba hasikilizi ushauri wa mashabiki wake hata kidogo. Mfano anataka kutoa album lkn ukimwambia iweke boomplay anakwambia imba yako ukaiweke!!

Hivi huu ni ushamba au ujanja? Wasanii wote wanaojielewa wanaweka kazi zao huko ila nash allamechagua njia ya kuuza nyimbo zake whasap.

NASH Mc najua mtu kama ww lazima utakuwa humu JF, mimi ni shabiki yako mkubwa na ninapenda uimbaji wako lkn jaribi kubadilka kuwa wa kisasa kama wasanii wengine.
Kwani anakula kwako ?
 
Huko boomplay unalipwa sh ngap kwa nyimbo au downloads?

Je Hawa blogger wa bongo wanaziweka tunashusha for free hapo inakuaje
 
Ana watu wake anaowauzia album na ana watu wake anaowafanyia Show, huwezi kumuelewa Nash hata siku moja km humfuatilii vizuri, alafu usisahau Nash sio Zuchu anaepakwa mate watu wanaingiza nyoka Pangoni
Hamna kitu kama hicho.... Jamaa choka mbaya tupo naye kitaa .... Music haujifich. Achen uongo.
 
IMG_6748.jpg

IMG_6747.jpg


MAONI YA MDAU YAHESHIMIWE [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom