BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Msanii aliyekuwepo kundi la wakali kwanza aliyekuwa anafahamika kwa jina la QJay ameingia kwenye wimbi la madawa y kulevya.
Q Jay amekuwa mlevi kupindukia na anatumia madawa ya kulevya.
Uteja haujifichi, ni swala la muda tu.
Q Jay amekuwa mlevi kupindukia na anatumia madawa ya kulevya.
Uteja haujifichi, ni swala la muda tu.