Msanii Q Jay aingia kwenye madawa ya kulevya

Msanii Q Jay aingia kwenye madawa ya kulevya

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,527
Reaction score
3,811
Msanii aliyekuwepo kundi la wakali kwanza aliyekuwa anafahamika kwa jina la QJay ameingia kwenye wimbi la madawa y kulevya.

Q Jay amekuwa mlevi kupindukia na anatumia madawa ya kulevya.

Uteja haujifichi, ni swala la muda tu.
 
Naweza nikaamini kwa vigezo vifuatavyo;
1. Stress (from hero to zero/kutoka kuwa msanii mkubwa hadi kuwa raia wa kawaida)

2.Mafanikio zero; wasanii wa zamani hawakufanikiwa kuwekeza zaidi kwenye muziki wao (walijisahau pia) So, anajilaumu moyoni kitu kinachopelekea atumie ngada kupooza machungu!

3.Umaarufu wake umepotea; hapa tunaomjua Q Jay ni watu tuliofuatilia mziki kuanzia 2008 kushuka chini...vijana wengi wa sasa hawamfahamu so anajuta kupoteza jina lake!

Kwa mtazamo wangu ni hayo tu!
 
Naweza nikaamini kwa vigezo vifuatavyo;
1. Stress (from hero to zero/kutoka kuwa msanii mkubwa hadi kuwa raia wa kawaida)

2.Mafanikio zero; wasanii wa zamani hawakufanikiwa kuwekeza zaidi kwenye muziki wao (walijisahau pia) So, anajilaumu moyoni kitu kinachopelekea atumie ngada kupooza machungu!

3.Umaarufu wake umepotea; hapa tunaomjua Q Jay ni watu tuliofuatilia mziki kuanzia 2008 kushuka chini...vijana wengi wa sasa hawamfahamu so anajuta kupoteza jina lake!

Kwa mtazamo wangu ni hayo tu!
Mkuu kama ulikua haufahamu vijana wengi wanaingia kwwnye madawa sababu ya stori za mtaani kwamba ukipiga hio kitu unakua na uwezo wa kupiga mzigo ( kumla demu bila kuchoka, kuchelewa kutema wazungu) hivyo wengi huingia humo asilimia kubwa ya vijana wameingia kwasababu hio ingawa na sababu ulizoziseka hapo poa zinachangia
 
Kama ni kweli pole yake.
Ila hawa wasanii (old bongo fleva) wanahitaji sana ushauri nasaha hasa ya kukubaliana na hali zao, kwamba nyakati zinabadilika. Na huwezi kuwa juu muda wote, muhimu kuwekeza na kujijenga hasa fedha zinapokutembelea. Wakati ni ukuta.
 
Mkuu kama ulikua haufahamu vijana wengi wanaingia kwwnye madawa sababu ya stori za mtaani kwamba ukipiga hio kitu unakua na uwezo wa kupiga mzigo ( kumla demu bila kuchoka, kuchelewa kutema wazungu) hivyo wengi huingia humo asilimia kubwa ya vijana wameingia kwasababu hio ingawa na sababu ulizoziseka hapo poa zinachangia
Sio kweli wengi wanataka kupoza stress na kutumia kunaanza baada ya kujiingiza kwenye biashara ya kuuza akiwa na imani hatotumia ila in long run unakuta anaanza kujaribu bidhaa yake kwa kuonja mzigo kama OG
 
Moja kati ya Vijana waliokuwa na vipaji sahihi vya kufanya Muziki.

Sijajua inakuwaje mtu hadi anasadikika kuwa anatumia Dawa za kulevya na Vyombo vya dola visimbane akasema wapi anatoa hayo madawa.
 
mleta mada huyo dogo si nilisikia ni mlokole wa kutupwa?... nakumbuka kati ya mwaka 2015 au 2016 nilimsikia akihojiwa na dullah wa east africa radio, alikiri kwamba yeye kwa sasa ni mlokole na hatakuja tena kuimba bongofleva.

baadae nikaja kusikia story mtaani kuwa aliingia kwenye ulokole kwa shinikizo la wakwe zake. yaani alipata mke halafu wazazi wa mke wakatoa sharti lazima aokoke ndio aweze kumuoa mtoto wao.

inawezekana pia kaingia kwenye matumizi ya madawa kutokana na stress za ndoa baada kugundua ndoa imempotezea mda wake.

hivi mallow kapotelea wapi?... nasikia na yeye aliacha mziki kwa masharti kama hayo ya q jay.
 
mleta mada huyo dogo si nilisikia ni mlokole wa kutupwa?... nakumbuka mwaka kati ya mwaka 2015 au 2016 nimsikia akihojiwa na dullah wa east africa radio, akikiri kwamba yeye kwa sasa ni mlokole na wala hatakuja tena kuimba bongofleva.

baadae nikaja kusikia story mtaani kuwa aliingia kwenye ulokole kwa shinikizo la wakwe zake. yaani alipata mke halafu wazazi wa mke watoa sharti lazima aokoke ndio aweze kumuoa mtoto wao.
Kama haikua hiari yake bs Dgo ni mpuuzi....na yawezekana hyo dem mwenyewe sasa kaanza na kumsaliti mshkaji.

Hiv ndo kupenda gani huko wanaume wenzangu
 
Dah. Hatari Sana.



Yeeeeah kwanza, naumia moyoooni mlivyokuwa mkinipeleka peleka tu zamaaani. Hamuoni kama mnakosea...?. Eti, hamuoni kama mnapotea...?

Minaskia Uchungu.
 
Msanii aliyekuwepo kundi la wakali kwanza aliyekuwa anafahamika kwa jina la QJay ameingia kwenye wimbi la madawa y kulevya.

Q Jay amekuwa mlevi kupindukia na anatumia madawa ya kulevya.

Uteja haujifichi, ni swala la muda tu.
Huyu si alisema ameokoka hadi akaacha mziki wa dunia na akaoa mwanamke toka familia ya kilokole akawa anafnaya kazi kampuni flani ya kufunga majukwaa
 
Back
Top Bottom