AmorePowers
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 700
- 1,142
Picha yake ipo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiv huyu Darasa nikweli yukwa Madawa???So DARASA + Q JAY= UDAGA Mbona mi nilisikia kaokoka huyu Q jay
Uko sahihi kabisa mkuu.Naweza nikaamini kwa vigezo vifuatavyo;
1. Stress (from hero to zero/kutoka kuwa msanii mkubwa hadi kuwa raia wa kawaida)
2.Mafanikio zero; wasanii wa zamani hawakufanikiwa kuwekeza zaidi kwenye muziki wao (walijisahau pia) So, anajilaumu moyoni kitu kinachopelekea atumie ngada kupooza machungu!
3.Umaarufu wake umepotea; hapa tunaomjua Q Jay ni watu tuliofuatilia mziki kuanzia 2008 kushuka chini...vijana wengi wa sasa hawamfahamu so anajuta kupoteza jina lake!
Kwa mtazamo wangu ni hayo tu!
[emoji106]Kama ni kweli pole yake.
Ila hawa wasanii (old bongo fleva) wanahitaji sana ushauri nasaha hasa ya kukubaliana na hali zao, kwamba nyakati zinabadilika. Na huwezi kuwa juu muda wote, muhimu kuwekeza na kujijenga hasa fedha zinapokutembelea. Wakati ni ukitaka
hii hoja yako" nilishawahi kuisikia zamani" magomeni mitaa ya sunna" vijana walikuwa waki shauriana huo ujingaMkuu kama ulikua haufahamu vijana wengi wanaingia kwwnye madawa sababu ya stori za mtaani kwamba ukipiga hio kitu unakua na uwezo wa kupiga mzigo ( kumla demu bila kuchoka, kuchelewa kutema wazungu) hivyo wengi huingia humo asilimia kubwa ya vijana wameingia kwasababu hio ingawa na sababu ulizoziseka hapo poa zinachangia
hoja aliyoitoa Jamaa" ipo sahihi" .. nikweli kuna vijana wengine huwa wanajiingiza kwenye hayo matumizi kwaajili ya kuchelewa kufika kilele cha kibo"....Sio kweli wengi wanataka kupoza stress na kutumatumia kunaanza baada ya kujiingiza kwenye biashara ya kuuza akiwa na imani hatotumia ila in long run unakuta anaanza kujaribu bidhaa yake kwa kuonja mzigo kama OG
huko kuna itwa kupenda sana" ukiwa wakosoa " wanakwambia " hujawahi kupenda"...... alaaaa kumbe mantiki ya kupenda inamtaka mpendaji" asitumie akili yake vyema katika maamuzi"" na kukubali kuwa mjinga"... kama ndio hilo basi mapenzi mimi yamenishindaKama haikua hiari yake bs Dgo ni mpuuzi....na yawezekana hyo dem mwenyewe sasa kaanza na kumsaliti mshkaji.
Hiv ndo kupenda gani huko wanaume wenzangu
hahahaa mack kamua ndio usiseme " nilikuwa namuona sana M/nyamala aiseee" ni huruma kwakwelilile kundi lao sidhani kama yupo mwanamziki aliyefanikiwa. nasikia makamua na yeye ni pombe mtu.
Sasa jaribu kukaa na mateja wengi halafu ndo utajua nilichokisema kwamba ni kweli au sio kweliSio kweli wengi wanataka kupoza stress na kutumia kunaanza baada ya kujiingiza kwenye biashara ya kuuza akiwa na imani hatotumia ila in long run unakuta anaanza kujaribu bidhaa yake kwa kuonja mzigo kama OG
hahahaaa... sio mbeya ni BUKOBA mkuuYupo Mkoani Kama sio Iringa/Mbeya ni Mlevi wa kupindukia nasikia anapiga Show za Buku Buku kwenye Ma_BAA.
duuuuhh " OMG what is this kind of life""...!!!Nimesikia hii issue bwana kutoka kwa Makamua akihojiwa Clouds, jamaa inasemekana alikuwa analala stand yeye na watoto wake wawili sasa sijui aliachana na mkewe, then baadae watoto wakasafirishwa kwa basi wakapelekwa kwa mama yao kupimwa ikagundulika hawako sawa so QJay akakamatwa akawekwa ndani ila watoto wkaja mtetea kuwa siyo yeye aliyewafanyia vitendo hivyo huenda walifanyiwa wakati wanalala stand
Hio Biashara Networks zake zina Mizizi ivo Vyombo vya dola ukisikia vinapiga kelele basi jua vinahangaika na Ma pusha tu, Dealers wakubwa ni Hatari sanaMoja kati ya Vijana waliokuwa na vipaji sahihi vya kufanya Muziki.
Sijajua inakuwaje mtu hadi anasadikika kuwa anatumia Dawa za kulevya na Vyombo vya dola visimbane akasema wapi anatoa hayo madawa.
Nimesikia hii issue bwana kutoka kwa Makamua akihojiwa Clouds, jamaa inasemekana alikuwa analala stand yeye na watoto wake wawili sasa sijui aliachana na mkewe, then baadae watoto wakasafirishwa kwa basi wakapelekwa kwa mama yao kupimwa ikagundulika hawako sawa so QJay akakamatwa akawekwa ndani ila watoto wkaja mtetea kuwa siyo yeye aliyewafanyia vitendo hivyo huenda walifanyiwa wakati wanalala stand
Hapo sasa hata Makamua hakueleza na mtangazaji alikuwa perfect chrispin hakumchimba hata mimi nimebaki nawaza hivi nawaza vile...Hawako sawa kiaje mkuu?..HIV+/wameathirika na dawa za kulevya,
Sent from my HUAWEI P6-U06 using Tapatalk