joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Basi hata Ruge nae atakuwa mpuuzi, sababu kipindi kile cloudsfm walipovamiwa na makonda, ktk mahojiano ya 360 Ruge kwa kinywa chake akasema yy, ndiye hukagua vipindi vyote kabla ya kuruka. Huwezi jua labda nae Rama Dee nae aliona sawa, ikiwa yy Ruge huwaga anaruhusu baadhi ya upuuzi kuruka.Kwahio mkuu shilawadu ndio wana justify uharamu au uhalali wa jambo??
Shilawadu kupost privacy za watu haimaanishi ni sawa.. ila kuwaiga hao ndio upuuzi zaidi.
Tulitegemea labda rama dee kujitofautisha na shilawadu na kufanya vitu vilivyo sawa na haki