LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Hajajikwamua, ame wezeshwa na ndumba! Uchawi unalipa mzee!Naona taratibu dogo Mondi ana transion kutoka kwenye u entertainer na kuelekea kwenye u music mogul.
Kwa kweli juhudi za huyo dogo nazipenda maana kaweza kujikwamua kutoka kwenye hali duni sana ya kimaisha hadi kufika hapo alipo.
#Positivity#