Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

Sambulungu kaingia JF Juni 1, 2021, huyu siyo wa kumchukulia serious. Yuko hapa kumtetea Makonda
Wewe ndo uko jamii forum kutetea wanaume na chadema yenu! Makonda hatafavywa chechote tunza ujumbe huu baada ya mda nambie! Mko hapa mnashabikia ujinga!
 
Wewe ndo uko jamii forum kutetea wanaume na chadema yenu! Makonda hatafavywa chechote tunza ujumbe huu baada ya mda nambie! Mko hapa mnashabikia ujinga!
Kwa Makonda hahitaji akili kufanya hayo, kwanza akili anatowa wapi? Amechoma kama alivyovamia Clouds.

Tatizo walipokuwa na ushkaji na GSM walimpitisha kila mahali, ndiyo maana ni rahisi kwa Makonda kufanya chochote
 

Tunao manabii baina yetu
 
🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…