Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

Mlianza kuunga mkono na kusambaza Usho.ga na sasa mnahamia kwenye watumiaji madawa ya kulevya na kuharibu watoto wetu.
Pathetic!
#HAPANATunduLissu.
 
Hajampinga magufuli. Kamuelekeza makonda asibase na mambo ya wasanii na michezo afanye mambo yenye tija kama kuboresha magereza maana anaweza kwenda yeye na hata magufuli. Unasema hiyo sio point kweli
Ungeachana nae usikute hajaona na kusikia kile kile alichoongea zaid ya kucvhangia kwa hisia
 
Acha uchochezi ni neno gani ambalo ni tusi kwenye maoni ya Chid? Kila mmoja anafikiria tofauti hatuwezi kufanana katika kufikiri, ila lazima tukubaliane uelekeo sahihi
 
Tumia akili kidogo basi....kwani chiddi kasema uongo?? Mwaknyembe ndo anahusika na wasanii sio makonda....awamu hii watu mnajitoa akili mpaka mnakera
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu LACHERO, hiyo beat wakati anaanza kuchana... ni beat ya wimbo gani?

-Kaveli-
 
Walahi. ....sikujua kwamba huyu jamaa ana akili kiasi hichi asee... Chindi Benz Ni hatari sana..... Makonda Fanya mambo yenye tija kwa taifa lako achana na kutafuta kiki kwa wasanii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajidanganya kama mazezeta wenzako. Katiba imeandikwa na watu, watu hao hao wanaouwezo wa kuamua kumfanyia Nini kiongozi aliyewafanyia uhuni kinyume cha kiapo chake. Huwezi kuvunja haki za watu halafu udai utalindwa na Katiba, sahau!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…