Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda

ngoma ya Lisu mtaicheza sana hadi usingizini

Sent using Jamii Forums mobile app

tapatalk_1549895478693.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utawala wenye hekima utayatafakari na kutumia vizuri ushauri wa huyu msanii
 
Uwezekano wa viongozi wa awamu hii kwenda Segerea siku zijazo ni mkubwa sana. Unapokuwa na sh 2.4 trillion au zimepotea au zimetumika bila vielelezo au zimetumika bila kuidhinishwa, ni lazima kwa vyovyote vile, kuna watu siku za mbeleni, hata kama si kesho, lazima watakuja kushtakiwa.

Akina Mramba walishtakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka kwa kuidhinisha mikataba ya pesa kidogo sana ukilinganisha na hii ya matrillion ya sasa.
Marehemu Muhidini Kimario yalimkuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Makonda aende segerea kwa kosa lipi? Magufuli aende segerea kwa katiba ipi? hahahaha leo chid benz kawa kipenzi cha chadema
 
Sasa Makonda aende segerea kwa kosa lipi? Magufuli aende segerea kwa katiba ipi? hahahaha leo chid benz kawa kipenzi cha chadema
Rais wa Israel yupo ndani rais wa Brasil yipo ndani ,rais wa korea yupo ndani,rais Gabo yupo ndani

Ukiwa umshikilia mpini huwezi ona kosa..kwa sasa wao wana dola..siku itakuja watakapokuwa hawana dola..watakuwa toothless..bila ya kuwa na maamuzi

Sheria huwa zinabadirika..hata Sadam Hussen hakujuwa kama atakuja hukumiwa kifo kwa makosa yake ya nyuma maana alikuwa kakalia mpini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom