mistari4G
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 554
- 652
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....
inaonekana mbowe alikataa kuku umber ruty wewe ndio maana unamuwaza kila maranasikia mbowe kashamtayarishia tundu lisu selo ya kukaa segerea siku akirudi bongo
Siyo kuwa ana akili kubwa bali kasema ukweli ambao wenye PhD zao kina Kabudi, Kitila hawawezi kumwambia Magufuli wala Makonda.Watanzania bhana!!! Yaani umemuona ana akili kisa tu kamkosoa makonda!??? Eti ndo umemuona ana akili! Pole sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemkumbuka ChilubaDua la kuku hilo kwa mwewe, muulizeni kwanza madawa kaacha?
Marehemu Muhidini Kimario yalimkutaUwezekano wa viongozi wa awamu hii kwenda Segerea siku zijazo ni mkubwa sana. Unapokuwa na sh 2.4 trillion au zimepotea au zimetumika bila vielelezo au zimetumika bila kuidhinishwa, ni lazima kwa vyovyote vile, kuna watu siku za mbeleni, hata kama si kesho, lazima watakuja kushtakiwa.
Akina Mramba walishtakiwa kwa matumizi mabaya ya madaraka kwa kuidhinisha mikataba ya pesa kidogo sana ukilinganisha na hii ya matrillion ya sasa.
Suala siyo ngada hapa, jee alichosema ni kweli au uongo?Huyu mnayemsifu leo siku akikutwa tena na ngada ndio mtakuja hapa kusema ameonewa!
Rais wa Israel yupo ndani rais wa Brasil yipo ndani ,rais wa korea yupo ndani,rais Gabo yupo ndaniSasa Makonda aende segerea kwa kosa lipi? Magufuli aende segerea kwa katiba ipi? hahahaha leo chid benz kawa kipenzi cha chadema
Unafuata reasoning ya mjinga angalia anakuvuta kwake!
Nimependa shirt hilo kwa avatar😊Hebu msikilizeni huyu jamaa, ameonge mambo ya msingi sana kwa mkuu wa mkoa. Natamani kama angekuwa na muda amsikilize.View attachment 1023846
Sent from my HUAWEI MLA-L11 using JamiiForums mobile app