Msanii Ray Vanny ni mmoja ya Wasanii wasiotumia akili kabisa!

Msanii Ray Vanny ni mmoja ya Wasanii wasiotumia akili kabisa!

Ivyo vitu wanajisumbua tu,mashabiki WA kiafrica / Tanzania hawatambui issues za ubunifu na Wala hawastuki na hatujafikia uko kwenye Sanaa ya bongo ,pia usiwaamini sana wasanii na usiamini kila unachoambiwa bila vithibitisho ,usiwe kama mtu usiye na ubongo😀😀za kuambiwa changanya na zako
 
Nimekuwa nikifatilia baadhi ya show anazofanya msanii RayVany kwenye show zake hasa za Wasafi festival!

Kusema ukweli ni msanii ambaye amekuwa akiwekeza sana kwenye show hizi sana sana hata kushinda Diamond mwenyewe na amekuwa akiwahamasisha wengi kufanya uwekezaji!

Lakini mara nyingi inasemwa uwekezaji mzuri ni ule unao onesha kulipa au ambao utalipa baadae kidogo….Ukweli ni kwamba Tamasha la wasafi haliwezi kumzalia matunda ya uwekezaji anaofanya zaidi atakachopata zaidi ni kupata sifa kwenye mitandao tuu basi lakini Wasafi hawawezi rudisha anacho wekeza kwenye maandalizi ya show yake!

Kilichonifanya nione hatumii akili ni kitendo chake cha hivi karibuni kuanza kulalamika kupata hasara kwenye baadhi ya show zake kushindwa kufanyika alivyotaka kwani mahitaji yake yamekuwa makubwa na hayaendani na mazingira…..
Juzi hapa amelalamika kupata hasara zaidi ya Million 70 uko mbeya akitengeneza ziwa la kupitisha boat…
Sasa show ambayo mtu analipwa

Million 4 anawekezaje million 70?
Hizi ni akili za wapi?
Hata kama anaona mbali bado Tamasha hili haliwezi kurejesha million 70 aliyowekeza hapo kama ni kweli!
Investiment anayofanya kwenye hizi show hata Diamond hafanyi kwakuwa mwenzie anatumia akili zaid zaidi kuliko kutafuta sifa tuu…

RayVany uwezekaji anaofanya kwenye hili tamasha angekuwa anaufanya kwenye show anazoalikwa kufanya nje ya nchi kuliko kupoteza hela kwenye matamasha ambayo hayawezi kumrejeshea pesa zake!
Dogo WA MBEYA anaanza kutuaibisha waisa sasa anaanza kuwa kama ngosha!!!
 
Nimekuwa nikifatilia baadhi ya show anazofanya msanii RayVany kwenye show zake hasa za Wasafi festival!

Kusema ukweli ni msanii ambaye amekuwa akiwekeza sana kwenye show hizi sana sana hata kushinda Diamond mwenyewe na amekuwa akiwahamasisha wengi kufanya uwekezaji!

Lakini mara nyingi inasemwa uwekezaji mzuri ni ule unao onesha kulipa au ambao utalipa baadae kidogo….Ukweli ni kwamba Tamasha la wasafi haliwezi kumzalia matunda ya uwekezaji anaofanya zaidi atakachopata zaidi ni kupata sifa kwenye mitandao tuu basi lakini Wasafi hawawezi rudisha anacho wekeza kwenye maandalizi ya show yake!

Kilichonifanya nione hatumii akili ni kitendo chake cha hivi karibuni kuanza kulalamika kupata hasara kwenye baadhi ya show zake kushindwa kufanyika alivyotaka kwani mahitaji yake yamekuwa makubwa na hayaendani na mazingira…..
Juzi hapa amelalamika kupata hasara zaidi ya Million 70 uko mbeya akitengeneza ziwa la kupitisha boat…
Sasa show ambayo mtu analipwa

Million 4 anawekezaje million 70?
Hizi ni akili za wapi?
Hata kama anaona mbali bado Tamasha hili haliwezi kurejesha million 70 aliyowekeza hapo kama ni kweli!
Investiment anayofanya kwenye hizi show hata Diamond hafanyi kwakuwa mwenzie anatumia akili zaid zaidi kuliko kutafuta sifa tuu…

RayVany uwezekaji anaofanya kwenye hili tamasha angekuwa anaufanya kwenye show anazoalikwa kufanya nje ya nchi kuliko kupoteza hela kwenye matamasha ambayo hayawezi kumrejeshea pesa zake!
Rayvan ni msanii mpumbavu
 
Kuna angle yake anaitafuta sio lazima sasa ivi ila anajua itamlipa uko mbele ya safari.

Usikate tamaa van boy kwa kile unachokiamnini wabongo kazi yetu kukatisha watu tamaa ilhali hatujui undani wake.

NB.
Kuna waliogundua dunia n duara mwanzoni huko wakauawa ila sasa ivi wanaombwa msamaa.
 
Huyu jamaa nasikia alijenga nyumba Kisha akaichoma Moto ili kuweka uhalisia kwenye video ya I miss you...pumbavu kbsa huyu jamaa
 
Hiyo ni Mil 7 iliyoongezwa sifuri kiuhalisia rayvan na harmonize ni wasanii wanaoelekea kupotea hata lebo walizozianzisha zimeshakufa kilichobakia ni wao kupotea ni swala la muda
 
Wasanii wenu bongo huwa wanapenda kuongeza masifuriiii

Ova
 
Mar rayv kapoteza m70 kwenye kubeti mara m70 kawekeza kwenye kutengeza ziwa?? Jaman mtatuua kwa propaganda
Anajenga ziwa/ bwawa la kupitisha boat kwa siku moja?! Hiyo engineering ya wapi?!
 
sikubaliani na wewe Leak mtoa mada hiyo show ya Wasafi festival inatazamwa sio tu Tanzania mpaka nchi za nje ya nchi na hii imesibitisha baada ya kutokea mjadala nigeria kitendo cha diamond kuingia na jeneza kwenye stage baadhi ya wasanii wakubwa wa nigeria kama burna boy wakatoa maoni yao.Kwa maana hiyo anachofanya Rayvanny kinaonwa na wengi kitaanza kumlimpa hapo baadae kupata shows nyingi sio lazima iwe Wasafi festival pekee
Hivi hizo show zenye poor video hivyo ndio zakuangaliwa dunia nzima?
Ujinga huu
 
Back
Top Bottom