RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Ivyo vitu wanajisumbua tu,mashabiki WA kiafrica / Tanzania hawatambui issues za ubunifu na Wala hawastuki na hatujafikia uko kwenye Sanaa ya bongo ,pia usiwaamini sana wasanii na usiamini kila unachoambiwa bila vithibitisho ,usiwe kama mtu usiye na ubongo😀😀za kuambiwa changanya na zako