Dogo WA MBEYA anaanza kutuaibisha waisa sasa anaanza kuwa kama ngosha!!!Nimekuwa nikifatilia baadhi ya show anazofanya msanii RayVany kwenye show zake hasa za Wasafi festival!
Kusema ukweli ni msanii ambaye amekuwa akiwekeza sana kwenye show hizi sana sana hata kushinda Diamond mwenyewe na amekuwa akiwahamasisha wengi kufanya uwekezaji!
Lakini mara nyingi inasemwa uwekezaji mzuri ni ule unao onesha kulipa au ambao utalipa baadae kidogo….Ukweli ni kwamba Tamasha la wasafi haliwezi kumzalia matunda ya uwekezaji anaofanya zaidi atakachopata zaidi ni kupata sifa kwenye mitandao tuu basi lakini Wasafi hawawezi rudisha anacho wekeza kwenye maandalizi ya show yake!
Kilichonifanya nione hatumii akili ni kitendo chake cha hivi karibuni kuanza kulalamika kupata hasara kwenye baadhi ya show zake kushindwa kufanyika alivyotaka kwani mahitaji yake yamekuwa makubwa na hayaendani na mazingira…..
Juzi hapa amelalamika kupata hasara zaidi ya Million 70 uko mbeya akitengeneza ziwa la kupitisha boat…
Sasa show ambayo mtu analipwa
Million 4 anawekezaje million 70?
Hizi ni akili za wapi?
Hata kama anaona mbali bado Tamasha hili haliwezi kurejesha million 70 aliyowekeza hapo kama ni kweli!
Investiment anayofanya kwenye hizi show hata Diamond hafanyi kwakuwa mwenzie anatumia akili zaid zaidi kuliko kutafuta sifa tuu…
RayVany uwezekaji anaofanya kwenye hili tamasha angekuwa anaufanya kwenye show anazoalikwa kufanya nje ya nchi kuliko kupoteza hela kwenye matamasha ambayo hayawezi kumrejeshea pesa zake!
Sijaelewa..Juzi hapa amelalamika kupata hasara zaidi ya Million 70 uko mbeya akitengeneza ziwa la kupitisha boat…
Kwenye show alitaka kuingia na boat...Sijaelewa..
Au ni kwa vile sijasoma sayansi shule au?
Duh!Kwenye show alitaka kuingia na boat...
Rayvan ni msanii mpumbavuNimekuwa nikifatilia baadhi ya show anazofanya msanii RayVany kwenye show zake hasa za Wasafi festival!
Kusema ukweli ni msanii ambaye amekuwa akiwekeza sana kwenye show hizi sana sana hata kushinda Diamond mwenyewe na amekuwa akiwahamasisha wengi kufanya uwekezaji!
Lakini mara nyingi inasemwa uwekezaji mzuri ni ule unao onesha kulipa au ambao utalipa baadae kidogo….Ukweli ni kwamba Tamasha la wasafi haliwezi kumzalia matunda ya uwekezaji anaofanya zaidi atakachopata zaidi ni kupata sifa kwenye mitandao tuu basi lakini Wasafi hawawezi rudisha anacho wekeza kwenye maandalizi ya show yake!
Kilichonifanya nione hatumii akili ni kitendo chake cha hivi karibuni kuanza kulalamika kupata hasara kwenye baadhi ya show zake kushindwa kufanyika alivyotaka kwani mahitaji yake yamekuwa makubwa na hayaendani na mazingira…..
Juzi hapa amelalamika kupata hasara zaidi ya Million 70 uko mbeya akitengeneza ziwa la kupitisha boat…
Sasa show ambayo mtu analipwa
Million 4 anawekezaje million 70?
Hizi ni akili za wapi?
Hata kama anaona mbali bado Tamasha hili haliwezi kurejesha million 70 aliyowekeza hapo kama ni kweli!
Investiment anayofanya kwenye hizi show hata Diamond hafanyi kwakuwa mwenzie anatumia akili zaid zaidi kuliko kutafuta sifa tuu…
RayVany uwezekaji anaofanya kwenye hili tamasha angekuwa anaufanya kwenye show anazoalikwa kufanya nje ya nchi kuliko kupoteza hela kwenye matamasha ambayo hayawezi kumrejeshea pesa zake!
Kuna picha katuma zile fingua mkuu 🤓Duh!
basi mtoa mada atakuwa anawakilisha asilimia kubwa sana ya watanzania!
Pamoja na huyo anayetaka kuingia na boti
Zaidi ya sana...Rayvan ni msanii mpumbavu
Hata Mimi ma men simuelewagiHuyo msanii sijawahi muelewaga.
Anajenga ziwa/ bwawa la kupitisha boat kwa siku moja?! Hiyo engineering ya wapi?!Mar rayv kapoteza m70 kwenye kubeti mara m70 kawekeza kwenye kutengeza ziwa?? Jaman mtatuua kwa propaganda
Hivi hizo show zenye poor video hivyo ndio zakuangaliwa dunia nzima?sikubaliani na wewe Leak mtoa mada hiyo show ya Wasafi festival inatazamwa sio tu Tanzania mpaka nchi za nje ya nchi na hii imesibitisha baada ya kutokea mjadala nigeria kitendo cha diamond kuingia na jeneza kwenye stage baadhi ya wasanii wakubwa wa nigeria kama burna boy wakatoa maoni yao.Kwa maana hiyo anachofanya Rayvanny kinaonwa na wengi kitaanza kumlimpa hapo baadae kupata shows nyingi sio lazima iwe Wasafi festival pekee