Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Hii ndo double standard nayoona kwa sisi watz. Suala hilo hilo kwa mmoja linaweza kuwa kosa kwa mwingine likawa sawa.Ruge hamkumtetea hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo double standard nayoona kwa sisi watz. Suala hilo hilo kwa mmoja linaweza kuwa kosa kwa mwingine likawa sawa.Ruge hamkumtetea hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sidhan maana rayvan nje anaconection zipi kuliko mond?Rayvanny ni msanii mkali kwa alipofikia ameshetengeneza connection nying nyingn ambazo hata boss wake mwenyew hajawai kuziota
Tumpe mdaRich mavoko mpya anakuja.
Ruge alimtoa Nani to the highest peak, Sana Sana alikuwa anawatambulisha tu na kuwaacha , Mond anawatoa kutoka shimoni mpak anga za kimataifa , Leo hii ukizungumzia top ten ya wasanii wanaokimbiza , watano au sita wamepita mikononi mwa DiamondRuge hamkumtetea hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ruge alimtoa Nani to the highest peak, Sana Sana alikuwa anawatambulisha tu na kuwaacha , Mond anawatoa kutoka shimoni mpak anga za kimataifa , Leo hii ukizungumzia top ten ya wasanii wanaokimbiza , watano au sita wamepita mikononi mwa Diamond
Yani ukitoka unadaiwa na ukibaki unanyonywa!!!?Hawezi ondoka usafini nani atamlipia hela anazodaiwa na mondi?
Unatakiwa umjibu kwa fact sio kun'gan'gania kwamba ana mahaba je alichokiongea ni uongo?Zuchu huyu wakati mondi anamtambulisha aliambiwa muimba taarabu ajui kuimba angalia now huyu amekuwa habari nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha bwana, mahaba nigaragaze.
Huyo unaemwona mkali kazaliwa na kukuzwa na hao wauza iko ulichoandika sas hapo mwehu nanWcb Wanaimba ujinga sana hiyo label ya wauza nyapu haiwez kuwa na future kwa msanii mkali kama Rayvanny
Mwamba anajikamatisha kwa policeHuyo unaemwona mkali kazaliwa na kukuzwa na hao wauza iko ulichoandika sas hapo mwehu nan
Kibongo bongo hakunaga kusepa kiroho Safi.Vanny kasepa wasafi mda Sana , mwaka umepita sasa , na kaondoka kiroho safi tuuu, zilizofanyika ni hatuna tuu ili isilete mzozo, hyo ya kutopata support kama wasanii wengine ni lazima iwepo mana siyo part of the family , mtoto akijitegemea mzazi hawezi mhangaikia Sawa Sawa na watoto wengine waliopo home ....!!
HahahahaHawezi ondoka usafini nani atamlipia hela anazodaiwa na mondi?
Shida iko wapi wakati mkataba umesaini mwenyewe na invester siku zotë Ziko Kwa Ajil ya faida. Amewekeza milion 200, wwwe hujawekeza kitu kuna ubaya gan akichukua 70..Exactly, Unasainishwa Mkataba Wa Miaka 10 Mgawanyo Wa Faida Ni 70% Kwa Kampuni 30% Kwa Msanii [emoji4]
Kwanini usingemshauri kipindi ambacho hata kumuonga demu elfu 5 alikuwa hana na ukizingatia kwenye elimu kafeli njia pekee kaona kwenye mzikiHawa vijana wakati wanasaini Contract wanaona kama wamefika wanasahau kureview terms and conditions ya hizo contract so wanakuwa blinded na Njaa kali wanaona wamefika sehemu safi, kama nature ilivo, Human being cant get satisfied with anything, muda ukisogea their standards get higher wanaona sasa they can have their own freedom, mziki unakuja namna ya kuchomoka kwenye izo mikataba, Wasafi ipo at corporate level now ivo diamond yeye sio final say
Mwache ajichanganye amuige Tembo, yule kijana ni namba nyingine!Ray sio wakati sahihi wa kutoka Wasafi, record/label yako ni changa bado, sifuatilii mambo ila najua una msanii mmoja Macvoice ungetambulisha wasanii wengine hata wawili kabla ya ku move on from Wasafi, ila upande mwingine una kipaji mkuu, unaweza kwenda solo pia