Msanii Rayvan pengine hayupo Wasafi tena

Msanii Rayvan pengine hayupo Wasafi tena

Ruge hamkumtetea hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ruge alimtoa Nani to the highest peak, Sana Sana alikuwa anawatambulisha tu na kuwaacha , Mond anawatoa kutoka shimoni mpak anga za kimataifa , Leo hii ukizungumzia top ten ya wasanii wanaokimbiza , watano au sita wamepita mikononi mwa Diamond
 
Wcb Wanaimba ujinga sana hiyo label ya wauza nyapu haiwez kuwa na future kwa msanii mkali kama Rayvanny
 
Ruge alimtoa Nani to the highest peak, Sana Sana alikuwa anawatambulisha tu na kuwaacha , Mond anawatoa kutoka shimoni mpak anga za kimataifa , Leo hii ukizungumzia top ten ya wasanii wanaokimbiza , watano au sita wamepita mikononi mwa Diamond
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha bwana, mahaba nigaragaze.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha bwana, mahaba nigaragaze.
Unatakiwa umjibu kwa fact sio kun'gan'gania kwamba ana mahaba je alichokiongea ni uongo?Zuchu huyu wakati mondi anamtambulisha aliambiwa muimba taarabu ajui kuimba angalia now huyu amekuwa habari nyingine
 
Vanny kasepa wasafi mda Sana , mwaka umepita sasa , na kaondoka kiroho safi tuuu, zilizofanyika ni hatuna tuu ili isilete mzozo, hyo ya kutopata support kama wasanii wengine ni lazima iwepo mana siyo part of the family , mtoto akijitegemea mzazi hawezi mhangaikia Sawa Sawa na watoto wengine waliopo home ....!!
Kibongo bongo hakunaga kusepa kiroho Safi.

Hata demu ukimtongoza akikataa UNAKUNJA. Hakuna KUSALIMIANA tena, CHUKI CHUKI.
 
Hawa vijana wakati wanasaini Contract wanaona kama wamefika wanasahau kureview terms and conditions ya hizo contract so wanakuwa blinded na Njaa kali wanaona wamefika sehemu safi, kama nature ilivo, Human being cant get satisfied with anything, muda ukisogea their standards get higher wanaona sasa they can have their own freedom, mziki unakuja namna ya kuchomoka kwenye izo mikataba, Wasafi ipo at corporate level now ivo diamond yeye sio final say
 
Hawa vijana wakati wanasaini Contract wanaona kama wamefika wanasahau kureview terms and conditions ya hizo contract so wanakuwa blinded na Njaa kali wanaona wamefika sehemu safi, kama nature ilivo, Human being cant get satisfied with anything, muda ukisogea their standards get higher wanaona sasa they can have their own freedom, mziki unakuja namna ya kuchomoka kwenye izo mikataba, Wasafi ipo at corporate level now ivo diamond yeye sio final say
Kwanini usingemshauri kipindi ambacho hata kumuonga demu elfu 5 alikuwa hana na ukizingatia kwenye elimu kafeli njia pekee kaona kwenye mziki
 
Ray sio wakati sahihi wa kutoka Wasafi, record/label yako ni changa bado, sifuatilii mambo ila najua una msanii mmoja Macvoice ungetambulisha wasanii wengine hata wawili kabla ya ku move on from Wasafi, ila upande mwingine una kipaji mkuu, unaweza kwenda solo pia
Mwache ajichanganye amuige Tembo, yule kijana ni namba nyingine!
 
Back
Top Bottom