Anatakiwa yeye awe mkubwa sasa hivi kwanza kukimbilia kuwa na wasanii wengi ni kuanza kujiingiza gharamaRay sio wakati sahihi wa kutoka Wasafi, record/label yako ni changa bado, sifuatilii mambo ila najua una msanii mmoja Macvoice ungetambulisha wasanii wengine hata wawili kabla ya ku move on from Wasafi, ila upande mwingine una kipaji mkuu, unaweza kwenda solo pia
Nadhani umemjulia Ruge THT, Ila smooth vibez iliyowasimamisha wasanii A'list kama TID, Lady jay dee, Ray C , Banana Zorro, Q chief etc huwajuiRuge alimtoa Nani to the highest peak, Sana Sana alikuwa anawatambulisha tu na kuwaacha , Mond anawatoa kutoka shimoni mpak anga za kimataifa , Leo hii ukizungumzia top ten ya wasanii wanaokimbiza , watano au sita wamepita mikononi mwa Diamond
Huu ndio ungese wenu WCB, mtu akiwa kwenu anakua mzuri akitoka tu mnamuona anakua Hana uwezo na support hamumpi, akili zenu na CCM ni sawa tu.Naona anatafuta kupotea kabsa kwenye ramani.
Hana uwezo wa kuhimili mikiki ya Muziki akiwa peke yake.
Konde boy alipofikia hahitaji support ya rayvanny, uchwai wa WCB waliomfanyia rich mavoko umedunda kwa mmakomde, maana kila siku anatrend yeye tuIkitokea Vanny akaondoka WCB, Mmakonde ( Harmonize) ataforce ukaribu na Vanny ..ili wasapotiane ...na hawa watu waki click tuu Huko WCB watapata pressure kubwa sana..
Ana trend kwa nyimbo au kwa vituko?Konde boy alipofikia hahitaji support ya rayvanny, uchwai wa WCB waliomfanyia rich mavoko umedunda kwa mmakomde, maana kila siku anatrend yeye tu
Aliondoka kwa aman mwaka sasa ni mkataba aliutaka aliemnunua asitoke ghafla ,walilipwa bil 1 mondi akala nusu pesa sawa na alolipwa na harmoniser kwa fujo ,hii alipewa tena kwenye gar ndo mbwembwe za ray kununua gar ,mondi kwenda usa ,DIAMOND NINKUBALI SMARTNachojua Kwenye Mambo Haya Ya Label Hakunaga Kitu Kinachoitwa Kuondoka Kwa Amani [emoji4]
Si wanasema anakusudia kujiua baada ya kuachwa na Paula. Ndugu zake walimkamata na madawa baada ya kusikia kuwa ndugu yao anataka kujiua.Hayawi Hayawi sasa yamekuwa, ilianza kama kamchezo kakuigiza kutokupeana support za kupostiana kati ya Rayvan na wasanii wenzake wawasafi lakini utetezi ukawa mwingi, Ikafuata mama yake Boss wa Rayvan kumkatia Behewa Rayvan huko Instagram yaan Mama Dangote kum unfollow Rayvan, Zikaja Event zote kubwa za wasafi Ikiwepo EP ya FOA kutopostiwa na kijana huyo Shaban Mwakyusa Almaarufu kama Rayvan na Leo hii kaamua kukata Behewa kwenye Bio yake na kuondoa Taarifa iliyokuwa ikimtambulisha kama msanii wawasafi.
Nawakilisha.View attachment 2191207
Mmh nani anakusdia kujiua na ndugu zake nani walimkamata na madawa gani ya kujiua au ya kulevyaSi wanasema anakusudia kujiua baada ya kuachwa na Paula. Ndugu zake walimkamata na madawa baada ya kusikia kuwa ndugu yao anataka kujiua.
Mkuu unaongea nini unajua umhim utambulisho kwenye BioKuiondoa wcb kweny bio haimanishi haypo wcb
Ila uchawa wengine umepitilizaAna trend kwa nyimbo au kwa vituko?
Wimbo gani mkubwa katoa Huu mwaka zaidi yakusikia kiki zake za kajala mwanamziki anayejielewa anafanya kiki za wimbo ila jamaa anafanya kiki kubwa kuliko mziki wake na ndio maana ngoma zake nyingi zimefeliIla uchawa wengine umepitiliza
Kwahiyo hana nyimbo inayotrend au wcb tu ndio wanatrend?
Tafuta pesa bintiWimbo gani mkubwa katoa Huu mwaka zaidi yakusikia kiki zake za kajala mwanamziki anayejielewa anafanya kiki za wimbo ila jamaa anafanya kiki kubwa kuliko mziki wake na ndio maana ngoma zake nyingi zimefeli
Anavimba Lakini mwisho wa siku atafeli vibaya Sana .Naona anatafuta kupotea kabsa kwenye ramani.
Hana uwezo wa kuhimili mikiki ya Muziki akiwa peke yake.
UnaotaRayvanny ni msanii mkali kwa alipofikia ameshetengeneza connection nying nyingn ambazo hata boss wake mwenyew hajawai kuziota
Anaukali gani rayvan?Wcb Wanaimba ujinga sana hiyo label ya wauza nyapu haiwez kuwa na future kwa msanii mkali kama Rayvanny