joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Bil 1 ......... mhhhAliondoka kwa aman mwaka sasa ni mkataba aliutaka aliemnunua asitoke ghafla ,walilipwa bil 1 mondi akala nusu pesa sawa na alolipwa na harmoniser kwa fujo ,hii alipewa tena kwenye gar ndo mbwembwe za ray kununua gar ,mondi kwenda usa ,DIAMOND NINKUBALI SMART
Sidhan kama atafeli kama amejipanga ila kama kakurupuka lazima amie
RayVanny alikamatwa na madawa kutaka kujiua baada ya kuachwa na PaulaMmh nani anakusdia kujiua na ndugu zake nani walimkamata na madawa gani ya kujiua au ya kulevya
Kuna watu wako hai lakini hawajui watakula nini (yaani hawana chakula), unadhani wanafurahia kuwa hai?Kama yupo hai inatosha.
Maisha siyo lazima kuwa Wasafi.
Rayvanny ana tofauti kimashairi na wenzake hapo WCB!?Wcb Wanaimba ujinga sana hiyo label ya wauza nyapu haiwez kuwa na future kwa msanii mkali kama Rayvanny
Umeona eeeehMnataka mpotezee ushindi wa Simba kiaina?
Sasa hivi anashuka kila siku, Hana hit mtaani sasa hivi.Anaukali gani rayvan?
We wanapata hela hawa watu balaaBil 1 ......... mhhh
Uhai ni mtaji namba moja. Hayo mengine ya kukata tamaa ni upungufu wa afya ya ubongoKuna watu wako hai lakini hawajui watakula nini (yaani hawana chakula), unadhani wanafurahia kuwa hai?
Muda utaongeaRayvanny ni msanii mkali kwa alipofikia ameshetengeneza connection nying nyingn ambazo hata boss wake mwenyew hajawai kuziota
Make kwanza hapo ncheke.Wimbo gani mkubwa katoa Huu mwaka zaidi yakusikia kiki zake za kajala mwanamziki anayejielewa anafanya kiki za wimbo ila jamaa anafanya kiki kubwa kuliko mziki wake na ndio maana ngoma zake nyingi zimefeli
Yani apewe "1B" kwenye gari....seriously?Aliondoka kwa aman mwaka sasa ni mkataba aliutaka aliemnunua asitoke ghafla ,walilipwa bil 1 mondi akala nusu pesa sawa na alolipwa na harmoniser kwa fujo ,hii alipewa tena kwenye gar ndo mbwembwe za ray kununua gar ,mondi kwenda usa ,DIAMOND NINKUBALI SMART
Ndio akili zenu zilipoishia kwahiyo aendelee kukaa pale kuwafurahisha nyie huku akinyonywa๐๐๐๐ hata akipata kidogo chake kuliko kumlisha bosi kingi, na zuchu naye ajitathimini ๐๐๐Naona anatafuta kupotea kabsa kwenye ramani.
Hana uwezo wa kuhimili mikiki ya Muziki akiwa peke yake.
Inasemekana huyu lava lava hauziki kabisa ndio maana mondi alimpenda sana vanny na zuchu hata hamo alikuwa chini ya vanny kimauzoAcha Aondoke ,game ichangamke .....baada ya Vanny atayefuatia ni Lavalava .....siku hz ana ukaribu sana na bob junior ,afu pia hata label yake haimzingatii kabisa
Dah kama hali ni hiyo bhac watantafutia sababu tuu wakimchokaInasemekana huyu lava lava hauziki kabisa ndio maana mondi alimpenda sana vanny na zuchu hata hamo alikuwa chini ya vanny kimauzo
Harmonize Ameanza Kuzidiwa Na Rayvanny Mambo Ya Subscribers, Views Hata Mauzo Baada Tu Ya Kutoka Wasafi.Inasemekana huyu lava lava hauziki kabisa ndio maana mondi alimpenda sana vanny na zuchu hata hamo alikuwa chini ya vanny kimauzo
Anafata nyayo za Baba, kwani nae si alianza na kutrend kwa skendo?Ana trend kwa nyimbo au kwa vituko?