Waziri juzi kasema MC anayetumia nyimbo kusherehesha harusi n.k. nao watachajiwa wamlipe aliyeimba.. yaani wakipiga tu nyimbo ya msanii watalipa..
Kasema wanalipwa mamilioni kwa kazi moja na walioimba hawapati chochote..
Kasema hili wanalipanga kwa sasa ili lije lianze..