Slim manenomakali balaa=mkosi amaupendi kuniona jf tena mkosi unamengi nawezanikapona amakujakusujudu RIP anywanakataaakwajinala Yesu mkosi.balaa notmaportionsema amen
Duh! dogo kawambwa makofi! ila msifanye maskhara kofi linauma jamani!
Halafu shilole alikuwaga mkulima igungaaa, chezea kofi la mkulimaa? mikono sio lege lege ndo mana Soudy kasema Shilole kamlamba nuhu kelbu takatifu, nuhu alipepesuka akarudi sawa, akapiga funda la mate dubwiii ndani kwa ndani.....hahahaaa ila Kofi la mpenzi haliumi
Hhhhaaaaaaaaa chezea mbataaaaa,,,,Nuhu ni mpole tu jaman angekua msukuma wangu angekiona kilichomtoa nyoka pangon
Hhhhaaaaaaaaa chezea mbataaaaa,,,,Nuhu ni mpole tu jaman angekua msukuma wangu angekiona kilichomtoa nyoka pangon
mi naomba tu akimpiga tena aendelee kupiga mashavuni asipige kwingine kwa speeed hii anaweza kummaliza sehemu zake za risi
Teh Teh Mwl huyu Pididy ni mwanafunzi anayechukua PhD pale UD..... .
Ukiona nmshanajr. Kàlike ujue laptop hiyo upooo weraaaaweraaaa dinnaaaa. Nibemendee mieeeey