Msanii Shilole ampiga makofi Nuhu Mziwanda ambaye ni mchumba wake

Msanii Shilole ampiga makofi Nuhu Mziwanda ambaye ni mchumba wake

Mama akimwajibisha Kijana wake mnachonga anatia huruma sana dogo inaelekea anachezea mambata heavy weighted.
 
Yote mapenzi na ameridhika nayo kupigwa kutukanwa,kuna mpangaji wetu alikua analia kila usiku mume anampiga lakini asubuhi mume ndio anatoka na dishi la nguo kufua zamu ya kufagia anafagia mume bila aibu...na mke hasemi kwanini anapigwa tunabakia na maswali mpaka tunajijibu wenyewe,mpaka alipo choka alifungasha nguo zake akaenda kwao...
 
Hivi huyu Pdidy ndio mpaka kuongea anaongea kama anavyoandika tu au hili janga lipo kwenye upande wa maandishi tu!!!!
Weraaaaaaaaaa shiroreee???????
 
Hawa kina Pdidy wako wawili mapacha, mwingine anaitwa smail Pdidy Jr, wote wana miaka 25 na wanasoma MEMKWA
 
Last edited by a moderator:
Dogoinaonekanamtaalamwa katererroooosanna maanahatwmchepukowashiroreee ni muhaya
 
anajikomaza sijui....tatizo lakuingia mjini kwa pupa!

1422441971987.jpg
 
Hivi huyu Pdidy ndio mpaka kuongea anaongea kama anavyoandika tu au hili janga lipo kwenye upande wa maandishi tu!!!!
Weraaaaaaaaaa shiroreee???????
Teh Teh ni msomi huyo
Pididy yuko UDSM ana chukua PhD .mwezi wa 11 anatunikiwa.
 
Na apigwe tuuu, size zake za kucheza kibaba baba mbona zipooo? Ukiwa dereva wa malori usiogope ajali atiiii...

Mahaba nikung"ute hadi nirudi kwetuuu

Teh Teh si vibaya mama kumpiga mwanae
 
Back
Top Bottom