Msanii Shilole ampiga makofi Nuhu Mziwanda ambaye ni mchumba wake

Msanii Shilole ampiga makofi Nuhu Mziwanda ambaye ni mchumba wake

Slim manenomakali balaa=mkosi amaupendi kuniona jf tena mkosi unamengi nawezanikapona amakujakusujudu RIP anywanakataaakwajinala Yesu mkosi.balaa notmaportionsema amen

Huku kwetu Msangangongele balaa ni KIVUMISHI CHA SIFA, usiogope Pdidy! Ameen
 
Last edited by a moderator:
Duh! dogo kawambwa makofi! ila msifanye maskhara kofi linauma jamani!
 
Duh! dogo kawambwa makofi! ila msifanye maskhara kofi linauma jamani!

Halafu shilole alikuwaga mkulima igungaaa, chezea kofi la mkulimaa? mikono sio lege lege ndo mana Soudy kasema Shilole kamlamba nuhu kelbu takatifu, nuhu alipepesuka akarudi sawa, akapiga funda la mate dubwiii ndani kwa ndani.....hahahaaa ila Kofi la mpenzi haliumi
 
Halafu shilole alikuwaga mkulima igungaaa, chezea kofi la mkulimaa? mikono sio lege lege ndo mana Soudy kasema Shilole kamlamba nuhu kelbu takatifu, nuhu alipepesuka akarudi sawa, akapiga funda la mate dubwiii ndani kwa ndani.....hahahaaa ila Kofi la mpenzi haliumi

Hhhhaaaaaaaaa chezea mbataaaaa,,,,Nuhu ni mpole tu jaman angekua msukuma wangu angekiona kilichomtoa nyoka pangon
 
kheri ugali kwa picha ya samaki penye uhuru kuliko biriani utumwani. dogo point na steap zimebana hana ujanja inabidi awe mpole.
 
Huku kwetu Msangangongele balaa ni KIVUMISHI CHA SIFA, usiogope Pdidy! Ameen
werraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaweraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sriiiiiiiiiiiiiiiiiiimmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm66666666666666666666666666666666
 
Hhhhaaaaaaaaa chezea mbataaaaa,,,,Nuhu ni mpole tu jaman angekua msukuma wangu angekiona kilichomtoa nyoka pangon

mi naomba tu akimpiga tena aendelee kupiga mashavuni asipige kwingine kwa speeed hii anaweza kummaliza sehemu zake za risi
 
Back
Top Bottom