Uchaguzi 2020 Msanii T.I.D aitaka CHADEMA imlipe kwa kutumia neno "Ni Yeyee" kwenye kampeni zao

Kama anayo hati miliki ya hiyo.. NIYEYE.. basi atalipwa mapema sana
 
TID kashindwa kupiga fedha kupitia bongo fleva sasa anazivizia za kupitia kwenye matango pori ya chakubanga
Ni Yeye ni kiswahili kinachotumika mdomoni mara kwamara.
Kumbe aje na mm ni mlipe.
 
Huyo ni wa kumpuuza tu maana hana tofauti na Stive Nyerere eti anaenda kumg'oa mh Msigwa iringa mjini na alicho kutana nacho kutoka kwa wajumbe hatokisahau.
Huyu naye njaa inamsumbua.
Hilo neno niyeye ni kiswahili tu cha kawaida ingekuwa hivyo hata aliyetunga kiswahili angekuwa anatudai pesa kwa kwa kutumia lugha yake ya kiswahili
 
Kuhusu ubunifu ni kweli yeye ndiye kalianzisha tatizo ni kama hana hatimiliki na hilo neno.

Kama kitu hakina hatimiliki ni unamaanisha kipo open kwa yeyote anayetaka kukitumia.
upuuzi.
 
Yesu Kristo NI YEYE yule Jana na Leo na hata milele. Awalipe kwanza wayahudi ndo madai yake yawe halali
 
TID ameshawishiwa na akina polepole kudai fidia bila kujua huyo msemo upo mtaani
 
Ni yeyeeeee

Hebu nikimbie mana TID atanidai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…