Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,831
- 5,489
Msanii kutokea nchini Marekani Usher Raymond katika mtandao wa Instagram ameonesha wasiwasi wake juu ya mambo yanayoendelea huko Israel na Palestina ikiwemo vifo vya watu zaidi ya 1000, utekaji wa wanaume, wanawake na watoto huku akisisitiza kuhusu kuzingatia uhai wa Bindamu, katika maelezo aliandika ujumbe unasomeka;
Ambao kwa kiswahili ukisomeka kama;
Hata hivyo baadaye aliweza kuifuta post hiyo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika. Ambapo ukipita kwenye Account yake uwezi kuikuta tena.
I pray for peace in the world in this dark hour. there are currently reports of over a 1000 innocent people murdered. As more and more images of men, women & children being released for the worlds reaction. i am more and more appalled. The sanctity of life should never be in a question... there should never be a debate. This is our humanity.
Ambao kwa kiswahili ukisomeka kama;
Na katika picha akiambatanisha bendera ya Israel yenye neno "I Stand with Israel"Ninaomba amani duniani katika saa hii ya giza. kwa sasa kuna ripoti za zaidi ya watu 1000 wasio na hatia kuuawa. Huku picha zaidi na zaidi za wanaume, wanawake na watoto zikitolewa kwa ajili ya miitikio ya walimwengu. nazidi kushangaa. Utakatifu wa maisha haupaswi kamwe kuwa katika swali ... kamwe kusiwe na mjadala. Huu ndio ubinadamu wetu.
Hata hivyo baadaye aliweza kuifuta post hiyo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika. Ambapo ukipita kwenye Account yake uwezi kuikuta tena.