Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Hiyo serikali haina mambo ya msingi kufanya mpaka inadeal na mambo madogo kama haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msanii Vitali Maembe amekamatwa Leo tar 02 November 2021 mjini Bagamoyo. Taarifa za mwanzo zinasema yeye ni msanii mwenye nyimbo zinazoitukana serikali.
Taarifa za mwanzo zinasema yeye ni msanii mwenye nyimbo zinazoitukana serikali.
Tuendelee kuomba Msanii wa Umma aachiwe huru ili kuelimisha Umma.
Pia soma
- Uchaguzi 2020 - Vitali Maembe aondolewa kugombea Ubunge Bagamoyo
- Polisi watumia nguvu kutuliza maandamano chuo cha Bagamoyo, Vitali Maembe adakwa
- Barua ya Vitalis Maembe kwa Rais Magufuli
- Vitalis Maembe ni hazina, mashairi yake Yana fikirisha
- Vitalis Maembe: Makonda shika adabu yako, Chuo cha Sanaa Bagamoyo si sawa na wasafi wa nguo
- Ujumbe wa mwanangenzi vitali Maembe kwa msanii Roma
- Video: Ujumbe wa Vitali Maembe kwenye wimbo wa Vuma
- Vitali Maembe - Kudu
- Barua ya Vitali Maembe kwa Rais Jakaya Kikwete
In George Orwell's novel, a totalitarian society manipulates its citizens using 'Newspeak'. By controlling how society speaks, the government attempt to control how people can think and express themselves. Learn more about 1984 and over 100 other highlights of world literature in The Literature Book. Source : DK Books
Na hauwezi kuwasikia mabeberu wakipiga kelele.Hivi tumerogwa au? Juzi wachora katuni, Leo wanamuziki, wanaofuata waandishi !?
Muiteni mwanamuziki.TAARIFA![emoji3544]
NIMEPOKEA SIMU SASA HIVI KUWA MWANAMUZIKI NA MWANAHARAKATI, KAKA YETU VITALI MAEMBE (Namba yake) AMEKAMATWA NA POLISI JUMANNE JIONI WIKI HII
WALIMUITA KITUO CHA POLISI BAGAMOYO DUNDA AKARIPOTI.
ALIPOENDA JIONI HII NA KUFIKA PALE WAKAMUWEKA NDANI..
WATU WALIOKARIBU WAKAENDA KUFUATILIA WAKAAMBIWA KUWA IMEAGIZWA TOKA JUU AKAMATWE KWA KUWA AMETUKANA SERIKALI KWENYE NYIMBO ZAKE.
SASA WAMEMCHUKUA KWA GARI YA POLISI NA INASEMEKANA WAMEENDA NAYE KIBAHA.
KAMA JUKWAA NAAMINI TUNAWEZA KUFANYA JAMBO. PAAZENI SAUTI ZENU.
Asante
Halafu, ameitukanaje serikali iliyokwishajitukanisha mbele ya umma? Waseme kwamba, Vitalis amekamatwa kwa kumwambia mfalme avae joho jipya.Bathing-suit aliyovaa mfalme inambana.Huyu jamaa wamehangaika nae kitambo sana. Kama ni kweli hili limefanyika tena basi Serikali itakuwa imefanya jambo la 'Kipuuzi'
Mama anaupiga mwingi.[emoji12][emoji12]
Dah! Tuna serikali ya kipuuzi mno mno! Tuna viongozi wa hovyo sana
Magu kafa sasa na katiba inataka makamu wake amrithi , hebu tujikite kwenye uhalisia
HahahaMama anaupiga mwingi,anaiponya Nchi,tumpe nafasi maana Sukuma Gang wanashughulikiwa kila kona ya Nchi hii,tuliteseka sana kipindi cha nyuma.Tumpe Mama muda aponye kabisa majeraha.
Ni kawaida kwa serikali dhaifu kushughulika na vitu visivyotija kwa taifa.Huyu jamaa wamehangaika nae kitambo sana. Kama ni kweli hili limefanyika tena basi Serikali itakuwa imefanya jambo la 'Kipuuzi'
Nani kakuambia jiwe kafaHii ni awamu ile ile tofauti ni sura tu
Unategemea nn kama wasiojulikana wamelindwaHivi tumerogwa au? Juzi wachora katuni, Leo wanamuziki, wanaofuata waandishi !?
Binafsi niko very comfortable na mama kuliko nchi ilipokuwa mikononi mwa shetani malaika wa kuzimu.Mama anaiponya Nchi,Sukuma gang wanakomeshwa kabisa[emoji2955][emoji2955]
Maembe ni ACT.. NA 2020 NDIYE ALISHINDA UBUNGE BAGAMOYOMama anaupiga mwingi...Safi sana chadema mkome kbs tuliwaambia bora ya magu mkatuona hatufai
Angekuwa hahusiki angezungumzia ugaidi wa Mbowe BBC?Binafsi niko very comfortable na mama kuliko nchi ilipokuwa mikononi mwa shetani malaika wa kuzimu.
Issue ya Mbowe Director ni malaika wa kuzimu huyu mama hajainjinia hii kitu ingawa kuna taarifa walimdanganya kwa malengo yao.
Huwezi kufanya comparison kati ya mama na yule malaika wa kuzimu, mama she's far better.
Hahaha hatari sn mkuu
CCM wakachukua kwa nguvu? hatari snMaembe ni ACT.. NA 2020 NDIYE ALISHINDA UBUNGE BAGAMOYO
Wimbo wenyewe ndiyo huu hapa.Tuwekee huo Wimbo unaoitukana Serikali tuutathminishe....!
Namkumbuka huyu Mwamba aliimba 'Sumu Ya Teja Segerea' kama sijakosea.