kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
700k per day jomba700k ilikosekana
kwenye msiba atachangiwa 50m na wavuta shisha wenziwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
700k per day jomba700k ilikosekana
kwenye msiba atachangiwa 50m na wavuta shisha wenziwe
lunch yake ni 5m, according to her posts on insta700k per day jomba
Kuna jamaa namnukuu alisema "suala la afya ni jukumu lako, ila jukumu la msiba wako ni juu yetu." mwisho wa nunukuu.
Utamtambuaje akishirikiana na akina Dk. John na Mkoloni wa Kundi langu pendwa la Wagosi wa Kaya kutoka Tanga.Aliwika na wimbo gani huyu tumjue.
Rip
Kumbe ni member humu
daah pole yake ila haya mambo ya kufake ndo yanawafelisha.lunch yake ni 5m, according to her posts on insta
tumepoteza memberKumbe ni member humu
🥴🥴🥴🥴🥴lunch yake ni 5m, according to her posts on insta
Sio shisha tu hata kupenda umalaya nao ni uraibu tutakufa wengi.Si nimesoma hapa kuhusu wito wa kumchangia huyo Msanii kutoka kwa baadhi ya Wasanii wenzake?
Kama sababu ya kifo chake ni Uraibu wa kuvuta Shisha kama walivyochangia baadhi ya watu hapa Jamvini
Kuna Haja, Vijana wenye huo mtindo wa maisha wakabadirika.
Kumekuwa na wimbi la Vijana wengi wenye umri kati ya miaka 18 - 35 kuvuta sana Shisha.
Kwa kweli kama hazitachukuliwa jitihada thabiti, miaka kadhaa mbele kutakuwa na vifo vingi vitakavyokuwa na Mahusiano na Shisha, Pombe kali n.k
Mbona anajulikana mi namjua muda sana hata miaka mi5Mbona umendika kama vile ni maarufu anajulikana
Matibabu ni zaidi ya Starehe mkuu, usiseme hivyo kabisa. Kumbuka kwenye Starehe unatumia wakati huo huo unaingiza. Unapopata maradhi huingizi kitu bali unatoa tu.shenzi sana hawa, wanapost picha wakiogea maziwa ya asas huko insta
Ni mpumbavu pamoja na wale wenzake wanao fake life kule insta. Kama unakula 5m kwa lunch tu, 700k kwa siku inakushindaje?Matibabu ni zaidi ya Starehe mkuu, usiseme hivyo kabisa. Kumbuka kwenye Starehe unatumia wakati huo huo unaingiza. Unapopata maradhi huingizi kitu bali unatoa tu.
Hata wewe ukiumwa kufikia mwezi 1 tu maisha yako yanabadilika.
Tumemuoana hapa Prof Jay, kama sio huruma ya Mama Samia ilikuwa anarudisha jezi mapema sana, alikosa pesa za matibabu ya uhakika na watu walichanga lkn mpka pale Rais alipotoa tangazo la kumgharamikia.
Ugonjwa sio starehe ndugu yangu. Usitukane watu wala kukashifu kisa amefariki na hakuwa na hela za matibabu, hadi anapatwa na umauti unajua alitumia kiasi gani kwa matibabu achilia mbali huduma zingine muhimu?
Tuache Dharau, sisi ni Binadamu tu. Pumzi yako isikufanya kuwaona waliotangulia mbele za haki kama wazembe.
Nimekugongea Like.Kwamba wewe hutokufa? Pumzi isikudanganye, Kifo ni ukumbusho kwa sie tulio hai, kumwambia Marehem akome kwa kufa ili hali nawe ni marehemu mtarajiwa jitafakari utu wako, huenda kifo chako wewe kikawa cha kidhalili kheir yake amefia hospital pengine huku kazungukwa na wapendwa wake.
Innalillah wainna illah raji'un.
Nakubaliana nawe, kwa upande mwingine sera zetu za afya ni mbovu sana.Tumemuoana hapa Prof Jay, kama sio huruma ya Mama Samia ilikuwa anarudisha jezi mapema sana, alikosa pesa za matibabu ya uhakika na watu walichanga lkn mpka pale Rais alipotoa tangazo la kumgharamikia.
Hapa pia una mdhihaķi mkuu. Hakuna kifo ambacho hakina sababu mkuu.ni mpumbavu pamoja na wale wenzake wanao fake life kule insta
kama unakula 5m kwa lunch tu, 700k kwa siku inakushindaje ?
Mungu hadhihakiwi