dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Acha kutetea ujinga,Hapa pia una mdhihaķi mkuu. Hakuna kifo ambacho hakina sababu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutetea ujinga,Hapa pia una mdhihaķi mkuu. Hakuna kifo ambacho hakina sababu mkuu.
Tatizo wajinga wahisi kifo ni adhabu wakati nature inatulazimisha tuwe udongoKwamba wewe hutokufa? Pumzi isikudanganye, Kifo ni ukumbusho kwa sie tulio hai, kumwambia Marehem akome kwa kufa ili hali nawe ni marehemu mtarajiwa jitafakari utu wako, huenda kifo chako wewe kikawa cha kidhalili kheir yake amefia hospital pengine huku kazungukwa na wapendwa wake.
Innalillah wainna illah raji'un.
Uzi wa msiba ila imebidi tu nicheke 😀Demu amepata bahati ya kutoona dpw ikichukua bandar
Aisee, R.I.P JF Membertumepoteza member
Aiseee!Akomee na iwe funzo kwa wengine. Uhuni sio sifa
Amsalimie kanumba na masogange huko kuzimu. 👍
Toka nasoma nae darasa la 5Ushamuonja?
"Maisha ni yako mazishi ni yetu"Kuna jamaa alimjibu mtu twitter
"Maisha ni yako, msiba ni wetu, kuwa na adabu 😁"
Daah jerry ww ni fala sana 😅😅Dah R.I.P ila shisha ndio zimepoteza mvutaji bora
Why?!!!If I die young, bury me in satin
Lay me down on a bed of roses
Sink me in the river at dawn
Send me away with the words of a love song
Namuonea wivu.
amezoea kuvuta mdomoni anatolea moshi machoni na masikioni.. so hatokuelewamshamba_hachekwi Kuna la kujifunza hapa ??, au uta endelea kuishi Kama dragon Sasa🤒
Kwenye Ile thread Kuna mtu alisema hatoboi maana mapafu yameharibika kabisaa Kwa mimoshiiSi nimesoma hapa kuhusu wito wa kumchangia huyo Msanii kutoka kwa baadhi ya Wasanii wenzake?
Kama sababu ya kifo chake ni Uraibu wa kuvuta Shisha kama walivyochangia baadhi ya watu hapa Jamvini
Kuna Haja, Vijana wenye huo mtindo wa maisha wakabadirika.
Kumekuwa na wimbi la Vijana wengi wenye umri kati ya miaka 18 - 35 kuvuta sana Shisha.
Kwa kweli kama hazitachukuliwa jitihada thabiti, miaka kadhaa mbele kutakuwa na vifo vingi vitakavyokuwa na Mahusiano na Shisha, Pombe kali n.k
I love that songIf I die young, bury me in satin
Lay me down on a bed of roses
Sink me in the river at dawn
Send me away with the words of a love song
Namuonea wivu.