TANZIA Msanii wa Bongo Flava, Haitham Kim afariki dunia

TANZIA Msanii wa Bongo Flava, Haitham Kim afariki dunia

Matibabu ni zaidi ya Starehe mkuu, usiseme hivyo kabisa. Kumbuka kwenye Starehe unatumia wakati huo huo unaingiza. Unapopata maradhi huingizi kitu bali unatoa tu.
Hata wewe ukiumwa kufikia mwezi 1 tu maisha yako yanabadilika.

Tumemuona hapa Prof Jay, kama sio huruma ya Mama Samia ilikuwa anarudisha jezi mapema sana, alikosa pesa za matibabu ya uhakika na watu walichanga lkn mpka pale Rais alipotoa tangazo la kumgharamikia.

Ugonjwa sio starehe ndugu yangu. Usitukane watu wala kukashifu kisa amefariki na hakuwa na hela za matibabu, hadi anapatwa na umauti unajua alitumia kiasi gani kwa matibabu achilia mbali huduma zingine muhimu?

Tuache Dharau, sisi ni Binadamu tu. Pumzi yako isikufanye kuwaona waliotangulia mbele za haki kama wazembe.
Mkuu hakuna mzembe kwenye kifo. Ila maisha ya anasa wanayojidai wanaishi sio mazuri.

Hasa girls wengi wao wanakua hawana backup zaidi ya kujitapa huko insta.
Ukipata tatizo ndo kama hivo watu wanabeza kutoa msaada badala yake wanaanza kejeli na matusi coz uliwadharau mwanzo halafu ukipata shida unaomba usaidiwe nao tena.

Hup mfano Prof jay hauendani na huyo bibie mkuu, prof alichangiwa si haba aisee.
 
EATV

East Africa TV 1m

X

#TANZIA Taarifa zilizotufikia hivi sasa msanii wa kike wa Bongo Fleva #HaithamKim amefariki dunia hospitali ya rufaa Temeke alipokuwa anapatiwa matibabu.

Meneja wa wasanii Ben Q amedhibitisha taarifa hizo kupitia WhatsApp status yake.

Taarifa zaidi kinachoendelea kuhusu msiba wa Haitham Kim tutakujuza kupitia mitandao yetu ya kijamii, TV na Radio.

#RIPHAithamKim

TANZIA

MSANII HAITHAM KIM AFARIKI DUNIA

eastafrica RADIO

Ya EastAfricaTV | East AfricaRadio
Alikuwa msanii wa nini?
 
Sijui nazeeka au vipi, huyu Dada nimemjuwa akiwa anaumwa anaombewa michango, sikuwahi kumsikia.

Kweli kuna marehemu maarufu na kuna wanaoishi na umaarufu mfano DJ Choka sijuwagi umaarufu wake ulitokana na nini, sionagi la maana alilokuwa anafanya.
 
Back
Top Bottom