desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Ila ndo inaongoza kwa vifowanasema ukimwi wa siku hizi ni ukimwi koko .. unafyata mkia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ndo inaongoza kwa vifowanasema ukimwi wa siku hizi ni ukimwi koko .. unafyata mkia..
Aisee ni hatari kwa kweli, sijui kwenye yale mashisha wanaweka nini maana moshi unaotoka utasema ule moshi wa treni 🙌Kwenye Ile thread Kuna mtu alisema hatoboi maana mapafu yameharibika kabisaa Kwa mimoshii
Mkuu hakuna mzembe kwenye kifo. Ila maisha ya anasa wanayojidai wanaishi sio mazuri.Matibabu ni zaidi ya Starehe mkuu, usiseme hivyo kabisa. Kumbuka kwenye Starehe unatumia wakati huo huo unaingiza. Unapopata maradhi huingizi kitu bali unatoa tu.
Hata wewe ukiumwa kufikia mwezi 1 tu maisha yako yanabadilika.
Tumemuona hapa Prof Jay, kama sio huruma ya Mama Samia ilikuwa anarudisha jezi mapema sana, alikosa pesa za matibabu ya uhakika na watu walichanga lkn mpka pale Rais alipotoa tangazo la kumgharamikia.
Ugonjwa sio starehe ndugu yangu. Usitukane watu wala kukashifu kisa amefariki na hakuwa na hela za matibabu, hadi anapatwa na umauti unajua alitumia kiasi gani kwa matibabu achilia mbali huduma zingine muhimu?
Tuache Dharau, sisi ni Binadamu tu. Pumzi yako isikufanye kuwaona waliotangulia mbele za haki kama wazembe.
Hata kama ni starehe lakini hii ni too much.Wanaenda na wakati
Na ukiwaambia wanakuambia ni starehe,siyo dhambi.
Alikuwa msanii wa nini?EATV
East Africa TV 1m
X
#TANZIA Taarifa zilizotufikia hivi sasa msanii wa kike wa Bongo Fleva #HaithamKim amefariki dunia hospitali ya rufaa Temeke alipokuwa anapatiwa matibabu.
Meneja wa wasanii Ben Q amedhibitisha taarifa hizo kupitia WhatsApp status yake.
Taarifa zaidi kinachoendelea kuhusu msiba wa Haitham Kim tutakujuza kupitia mitandao yetu ya kijamii, TV na Radio.
#RIPHAithamKim
TANZIA
MSANII HAITHAM KIM AFARIKI DUNIA
eastafrica RADIO
Ya EastAfricaTV | East AfricaRadio
Ni kweli Mkuu, ila bora Umalaya unagonga na Ndomu tena bao moja then unalala mbele.Sio shisha tu hata kupenda umalaya nao ni uraibu tutakufa wengi.
OkayAlikuwa na shida ya upumuaji, inasemekana alikuwa anavuta shisha
Na alikuwa anaugua ugonjwa wa kupumua,inawezekana kuugua kwake kunahusiana na matumizi ya shisha.Dah R.I.P ila shisha ndio zimepoteza mvutaji bora
Kwani alikuwa malaya?Akomee na iwe funzo kwa wengine. Uhuni sio sifa
Amsalimie kanumba na masogange huko kuzimu. 👍
Nami natamani kujuaSindano za laki saba kwa siku ni zipi pale Temeke hospital??
Kumbe shisha ni noma??700k ilikosekana
kwenye msiba atachangiwa 50m na wavuta shisha wenziwe
mie sijambo, wewe je ?Kumbe shisha ni noma??
Kama unatumia acha,RafikiKumbe shisha ni noma??
Classmates wako we na nani 😆R.i.P Classmates....😥
Ndo ninamfahamu leo, kaimba wimbo gani walau nikamsikie. R.I.P msanii.