Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Alalie umemeRest in power ...means???
mana mi sielewiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alalie umemeRest in power ...means???
mana mi sielewiii
Huyu alikuwa msanii wa fani gani maana kiukweli simfahamu kabisa mzee mwenzanguKuna mtu alisema jana.. 🥲
Mtindo wa maisha yetu vijana .. inabidi kufanya review
Msamehe bure bangi HizoKwamba wewe hutokufa? Pumzi isikudanganye, Kifo ni ukumbusho kwa sie tulio hai, kumwambia Marehem akome kwa kufa ili hali nawe ni marehemu mtarajiwa jitafakari utu wako, huenda kifo chako wewe kikawa cha kidhalili kheir yake amefia hospital pengine huku kazungukwa na wapendwa wake.
Innalillah wainna illah raji'un.
Utaskia "Usinipangie maisha bro", hawajui kuwa kiburi chote cha uzima ni sababu ya afya njema. Siku uko hoi kitandani ndio utajua hata Pesa uliokuwa unaringia haiwezi kukuokoa.Wanaenda na wakati
Na ukiwaambia wanakuambia ni starehe,siyo dhambi.
Sindano za ku boost mapafuSindano za laki saba kwa siku ni zipi pale Temeke hospital??
Ndiyondiyo nini hii ?
ni term mpya chamani au ?
Mwimbaji wa Bongofleva na mwanachama wa JamiiForums, Haitham Kim amefariki dunia hospitali ya Temeke alipokuwa anapatiwa matibabu. Meneja wake amethibitisha.
Hivi karibuni Wasanii na Wadau wengine walianzisha kampeni ya kusaidia kuchangisha pesa kwa ajili ya matibabu yake.
Bryson ambaye ni Mume wa Marehemu alisema hali ya Haitham ilibadilika ghafla siku saba zilizopita akisumbuliwa na upumuaji ambapo ilianza kama homa ya kawaida lakini baadaye akawa anakosa pumzi hadi kupelekea kuwekewa mashine na kuchomwa sindano za kila siku zilizogharimu shilingi laki 7 kwa siku.
Kifo kikija kinakuja na kitakuja.Shisha na Bange sio nzuri
Possibly ilikuwa ni lupus au corona, Rip mrembo.
😳😳😳 bongo flavaaa huyuHuyu alikuwa msanii wa fani gani maana kiukweli simfahamu kabisa mzee mwenzangu
Matumizi ya shisha sio mazuri basi tu sjui ni ulimbukeni au ndio maisha ya kisasa tunajimaliza wenyeweNa alikuwa anaugua ugonjwa wa kupumua,inawezekana kuugua kwake kunahusiana na matumizi ya shisha.
Ya kweli Haya?Bila kusahau marehemu alikuwa chama la wana
Kwa kweli wengine tunamsikia leoMbona umendika kama vile ni maarufu anajulikana