TANZIA Msanii wa Bongo Flava, Haitham Kim afariki dunia

TANZIA Msanii wa Bongo Flava, Haitham Kim afariki dunia

Duuuuh shiha vapes 🛵💨💨💨💨💨💨
Sababu tunaishi Mara 1 na tunakufa Mara 1 kila mtu atakufa vile alivyoandikiwa afe, mwingine atakufa kwa gari mwingine kwa kupigwa risasi mwingine kuanguka jukwaani mwingine kitandani mwingine akanyagwa na tembo mwingine kiSu Ngura tu kinamuua
 
You are either stupid, dumb or both. Pompous fool. Kama huelewi hata maana ya sanaa, hilo bichwa lako unalitumia kama mfuniko wa mwili.

Tushajua haupo Tanzania, you can relax now.
Sina muda wa kujibishana au kutukanana na watu wajinga kama wewe. Hunijui sikujui. Kila mmoja hapa ana uhuru wa kusema anachotaka, frustration zako za maisha zisikusababishe kuvunjia heshima watu usiowajua. Kuwa mstaarabu. Kama nilivyosema mwanzo, sina muda wa kupoteza na watuu kama wewe, so kwa upande wangu haya maongezi na wewe yamefikia tamati sita respond lolote usemalo.
 
Kweli aiseee kila mtu afanye anachopenda kufanya
That's how it is sababu hakuna mwenye dawa ya kifo hakuna mwenye uwezo wa kukikimbia kifo hata awe nani hata awe mwema kiasi gani lazima siku moja atakufa na wote tunaochat hapa after 10 years baadhi tutakua tumeshawafukiwa ardhini hata Mimi nikiwemo maana sijui nakufa lini.. Safari yetu ni moja
 
Si nimesoma hapa kuhusu wito wa kumchangia huyo Msanii kutoka kwa baadhi ya Wasanii wenzake?

Kama sababu ya kifo chake ni Uraibu wa kuvuta Shisha kama walivyochangia baadhi ya watu hapa Jamvini

Kuna Haja, Vijana wenye huo mtindo wa maisha wakabadirika.

Kumekuwa na wimbi la Vijana wengi wenye umri kati ya miaka 18 - 35 kuvuta sana Shisha.

Kwa kweli kama hazitachukuliwa jitihada thabiti, miaka kadhaa mbele kutakuwa na vifo vingi vitakavyokuwa na Mahusiano na Shisha, Pombe kali n.k
Makonda alipiga marufuku shisha watu wakampinga na kumwona dikteta
 

Mwimbaji wa Bongofleva na mwanachama wa JamiiForums, Haitham Kim amefariki dunia hospitali ya Temeke alipokuwa anapatiwa matibabu. Meneja wake amethibitisha.

Hivi karibuni Wasanii na Wadau wengine walianzisha kampeni ya kusaidia kuchangisha pesa kwa ajili ya matibabu yake.

Bryson ambaye ni Mume wa Marehemu alisema hali ya Haitham ilibadilika ghafla siku saba zilizopita akisumbuliwa na upumuaji ambapo ilianza kama homa ya kawaida lakini baadaye akawa anakosa pumzi hadi kupelekea kuwekewa mashine na kuchomwa sindano za kila siku zilizogharimu shilingi laki 7 kwa siku.
Rest easy baby gal
 
Back
Top Bottom