raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Haya madude sijui kwann yana moshi mwingi hivyoWakiwa katika Vibes zao ,Ma Dragons
Au ndani kuna vilipuzi 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya madude sijui kwann yana moshi mwingi hivyoWakiwa katika Vibes zao ,Ma Dragons
Hahahahaha,, gari moshi hiloHaya madude sijui kwann yana moshi mwingi hivyo
Au ndani kuna vilipuzi 😂
Duuuuh shiha vapes 🛵💨💨💨💨💨💨Hahahahaha,, gari moshi hilo
MIMI ntawachangiaSio dharau mkuu mtu kama irene uwoya alivyo na kibri na jeuri na majibu ya hovyo na divathebawse halafu waumwe waseme tuchange subutuu atakula alipo peleka mboga
Sababu tunaishi Mara 1 na tunakufa Mara 1 kila mtu atakufa vile alivyoandikiwa afe, mwingine atakufa kwa gari mwingine kwa kupigwa risasi mwingine kuanguka jukwaani mwingine kitandani mwingine akanyagwa na tembo mwingine kiSu Ngura tu kinamuuaDuuuuh shiha vapes 🛵💨💨💨💨💨💨
Sina muda wa kujibishana au kutukanana na watu wajinga kama wewe. Hunijui sikujui. Kila mmoja hapa ana uhuru wa kusema anachotaka, frustration zako za maisha zisikusababishe kuvunjia heshima watu usiowajua. Kuwa mstaarabu. Kama nilivyosema mwanzo, sina muda wa kupoteza na watuu kama wewe, so kwa upande wangu haya maongezi na wewe yamefikia tamati sita respond lolote usemalo.You are either stupid, dumb or both. Pompous fool. Kama huelewi hata maana ya sanaa, hilo bichwa lako unalitumia kama mfuniko wa mwili.
Tushajua haupo Tanzania, you can relax now.
Kweli aiseee kila mtu afanye anachopenda kufanyaSababu tunaishi Mara 1 na tunakufa Mara 1 kila mtu atakufa vile alivyoandikiwa afe, mwingine atakufa kwa gari mwingine kwa kupigwa risasi mwingine kuanguka jukwaani mwingine kitandani mwingine akanyagwa na tembo mwingine kiSu Ngura tu kinamuua
That's how it is sababu hakuna mwenye dawa ya kifo hakuna mwenye uwezo wa kukikimbia kifo hata awe nani hata awe mwema kiasi gani lazima siku moja atakufa na wote tunaochat hapa after 10 years baadhi tutakua tumeshawafukiwa ardhini hata Mimi nikiwemo maana sijui nakufa lini.. Safari yetu ni mojaKweli aiseee kila mtu afanye anachopenda kufanya
Kufa hakuna wonderful commentWonderful comment
Makonda alipiga marufuku shisha watu wakampinga na kumwona diktetaSi nimesoma hapa kuhusu wito wa kumchangia huyo Msanii kutoka kwa baadhi ya Wasanii wenzake?
Kama sababu ya kifo chake ni Uraibu wa kuvuta Shisha kama walivyochangia baadhi ya watu hapa Jamvini
Kuna Haja, Vijana wenye huo mtindo wa maisha wakabadirika.
Kumekuwa na wimbi la Vijana wengi wenye umri kati ya miaka 18 - 35 kuvuta sana Shisha.
Kwa kweli kama hazitachukuliwa jitihada thabiti, miaka kadhaa mbele kutakuwa na vifo vingi vitakavyokuwa na Mahusiano na Shisha, Pombe kali n.k
hii kitu hiiWakiwa katika Vibes zao ,Ma Dragons
Tunakufa Mara 1 Mzee hata bodaboda ukicheza fyongo inakuuahii kitu hii
Kaaahh..mtoto Wa kike huyooo!!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji3526][emoji3526]mke Wa baadae huyoooWakiwa katika Vibes zao ,Ma Dragons
HahahahahaKaaahh..mtoto Wa kike huyooo!!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji3526][emoji3526]mke Wa baadae huyooo
Wakiwa katika Vibes zao ,Ma Dragons
Kweli aiseee kila mtu afanye anachopenda kufanya
Rest easy baby gal
Mwimbaji wa Bongofleva na mwanachama wa JamiiForums, Haitham Kim amefariki dunia hospitali ya Temeke alipokuwa anapatiwa matibabu. Meneja wake amethibitisha.
Hivi karibuni Wasanii na Wadau wengine walianzisha kampeni ya kusaidia kuchangisha pesa kwa ajili ya matibabu yake.
Bryson ambaye ni Mume wa Marehemu alisema hali ya Haitham ilibadilika ghafla siku saba zilizopita akisumbuliwa na upumuaji ambapo ilianza kama homa ya kawaida lakini baadaye akawa anakosa pumzi hadi kupelekea kuwekewa mashine na kuchomwa sindano za kila siku zilizogharimu shilingi laki 7 kwa siku.
Fake till her deathEverything about her is artificial. She lived a fake life.
Fake till her deathEverything about her is artificial. She lived a fake life.
Steve Nyerere yuko wapi