TANZIA Msanii wa Bongo Flava, Haitham Kim afariki dunia

TANZIA Msanii wa Bongo Flava, Haitham Kim afariki dunia

Makonda alipiga marufuku shisha watu wakampinga na kumwona dikteta
Kuna mambo Vijana kabla hawajayafanya vyema wajaribu kupima madhara yake.

Mtu anavuta shisha utasema kuna tuzo anapewa, ama wengine wanakunywa pombe hadi wanashindwa kujitambua.

Hayo yote eti kuendana na Ujana, kwani usipotumia hayo mavitu ujana wako utaisha?
 
Kuna mambo mengine binadamu tuna ya fanya mpaka unajiuliza kwann tuna ya fanya?
Haya maisha ni bora kuonekana mshamba, tujaribu kuishi natural hivi vitu ambavyo sio vya lazima hatuwezi kuvimaliza.
Kweli Mkuu
 
Back
Top Bottom