Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Wee ni mimi kabisa, alafu rafiki zangu sasa uwiiiii.Kuna starehe mwenzenu Toka usichana na uzee vimenipita
Pombe,sigara,bangi na mishisha kaahhh
Acha wavune na wanywe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee ni mimi kabisa, alafu rafiki zangu sasa uwiiiii.Kuna starehe mwenzenu Toka usichana na uzee vimenipita
Pombe,sigara,bangi na mishisha kaahhh
Acha wavune na wanywe
Dah Mungu allaze pema peponi roho yake. Sote njia yetu ni moja😳😳😳 bongo flavaaa huyu
Sindano za laki saba kwa siku ni zipi pale Temeke hospital??
😂😂😂 Bado tunasubiri swalah ya adhuhuri, uko wapi nikupitie tukazikeMsiba unaendeleaje? Washazika?
Dah,pole sana ,mie niko Mapinga huku ,we niwakilishe then tutawasiliana😂😂😂 Bado tunasubiri swalah ya adhuhuri, uko wapi nikupitie tukazike
Tuma rambirambi nayo nikakuwakilishe 😊😊😊Dah,pole sana ,mie niko Mapinga huku ,we niwakilishe then tutawasiliana
Kuna mambo Vijana kabla hawajayafanya vyema wajaribu kupima madhara yake.Makonda alipiga marufuku shisha watu wakampinga na kumwona dikteta
Hahahaha,rambi rambi natuma kwa watu wangapi? Maana jana pia nilirusha rambi rambi kwa moja ya wachangajiTuma rambirambi nayo nikakuwakilishe 😊😊😊
Hiyo unayotuma kwangu ya kuchangia chumvi msibani 😂😂😂Hahahaha,rambi rambi natuma kwa watu wangapi? Maana jana pia nilirusha rambi rambi kwa moja ya wachangaji
Kweli MkuuKuna mambo mengine binadamu tuna ya fanya mpaka unajiuliza kwann tuna ya fanya?
Haya maisha ni bora kuonekana mshamba, tujaribu kuishi natural hivi vitu ambavyo sio vya lazima hatuwezi kuvimaliza.
Hahahaha,hapo nimeelewaHiyo unayotuma kwangu ya kuchangia chumvi msibani 😂😂😂
Si unajua wanawake lazima tuingie jikoni, wee vipi?! Em tuma niwahi kutoa
Excessive of anything is harmful ,kifo tunaishi nacho kwa kila tendo unalofanya unaweza kujipelekea kweny kifo...
Okay, fanya hivo tajiri wafiwa wale msosi wenye chumvi 😊😊😊Hahahaha,hapo nimeelewa
Mtu kashakufa bado unamtukana mbona unakuwa mgongo waziNi mpumbavu pamoja na wale wenzake wanao fake life kule insta. Kama unakula 5m kwa lunch tu, 700k kwa siku inakushindaje?
Mungu hadhihakiwi
yeah ni mpumbavu, hutaki kunya bogaMtu kashakufa bado unamtukana mbona unakuwa mgongo wazi
Ila utakufa tu..unaweza kufa kwa kupigwa mtungo..usimdhihaki aliyekufa kwa kula bata unaweza kufa kwa kupigwa mtungo wahuni wakazibua mtaro mpaka ukafaKuna starehe mwenzenu Toka usichana na uzee vimenipita
Pombe,sigara,bangi na mishisha kaahhh
Acha wavune na wanywe
Ila utakufa tu na wewe..tena probably unaweza kufa kwa kupigwa mtungo..usimdhihaki aliyekufa kwa kula bata wewe unaweza kufa kwa kupigwa mtungo wahuni wakazibua mtaro mpaka ukafayeah ni mpumbavu, hutaki kunya boga
Weeee tema mate chiniIla utakufa tu na wewe..tena probably unaweza kufa kwa kupigwa mtungo..usimdhihaki aliyekufa kwa kula bata wewe unaweza kufa kwa kupigwa mtungo wahuni wakazibua mtaro mpaka ukafa