Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
😂😂😂😂[emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38]ataacha sasaa
Halafu wanaovuta hizo shisha wanajiona wajanja kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂[emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38]ataacha sasaa
Hakuna marehemu asiyeacha uchungu kwa waliompenda.
Mwimbaji wa Bongofleva na mwanachama wa JamiiForums, Haitham Kim amefariki dunia hospitali ya Temeke alipokuwa anapatiwa matibabu. Meneja wake amethibitisha.
Hivi karibuni Wasanii na Wadau wengine walianzisha kampeni ya kusaidia kuchangisha pesa kwa ajili ya matibabu yake.
Bryson ambaye ni Mume wa Marehemu alisema hali ya Haitham ilibadilika ghafla siku saba zilizopita akisumbuliwa na upumuaji ambapo ilianza kama homa ya kawaida lakini baadaye akawa anakosa pumzi hadi kupelekea kuwekewa mashine na kuchomwa sindano za kila siku zilizogharimu shilingi laki 7 kwa siku.
Yaan ni huzuni kwa kweli.Utaambiwa ufe na mapafu mazima ya kazi Gani?!!
Ah wapi.. ana nyodo sana, anajifanya mjanja mtoto wa Mjini, DRAGON kama DRAGON. tena huyu anakunywa na Mapombe makali.. hana muda mrefu.Dah[emoji1787]
Kwahiyo unasubiri afe?
Si umshauri aache
Actually ni zile za weed flavor, ndio huleta hiyo shida kufanya mapafu kujaa maji. Shisha Haina madhara kiivyoKuna zile Shisha za kielectronic.. kama vipeni hivi, kuna Ex wangu namuangaliaga sana status zake namsubiria tu.
Wazee.. kabla ya kuoa hawa wanawake unapeleka kuwachunguza MAPAFU na Via vya Uzazi.
Sahiv shisha zinawekw cocaine etc ili watu wawe addicted.. moshi ni moshi tu juzi nilikuwa ktk semina ya madaktari, kila mmoja alikuwa anatoa ushuhuda wake. Hali si nzuri kabisa..Actually ni zile za weed flavor, ndio huleta hiyo shida kufanya mapafu kujaa maji. Shisha Haina madhara kiivyo
Ujue mlivokua mnasema dragon [emoji244] nilikua sielewe sasa nkaanza kumuwaza dragon wa kwenye Merlin nkakumbuka anavotoa moto mdomoni ndo nikajua anhaaa...kumbe vile watu wa shisha wanavotoa Moshi mdomoni ndo mnawaita madragoni[emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]mna balaa ninyiAh wapi.. ana nyodo sana, anajifanya mjanja mtoto wa Mjini, DRAGON kama DRAGON. tena huyu anakunywa na Mapombe makali.. hana muda mrefu.
Subhana Lllaaah Mungu atunusuruSahiv shisha zinawekw cocaine etc ili watu wawe addicted.. moshi ni moshi tu juzi nilikuwa ktk semina ya madaktari, kila mmoja alikuwa anatoa ushuhuda wake. Hali si nzuri kabisa..
Biashara nzuri sahiv ni kumiliki mashine ya Dialysis. Watu wanaumw figo wengi na matibab yake ni very expensive. Naona pia Shisha italeta hela sana ktk sekta ya afya.
Acha kabisaa yaani vijana wa mjini ikiingia starehe mpya wanaifakamia Kwa fujoYaan ni huzuni kwa kweli.
Je nini kifanyike ili Jamii itambue hili tatizo?, Hasa hawa vijana wanao jiona kuwa ni wajanja na wanakwenda na wakati?Biashara nzuri sahiv ni kumiliki mashine ya Dialysis. Watu wanaumw figo wengi na matibab yake ni very expensive. Naona pia Shisha italeta hela sana ktk sekta ya afya.
Khaa 😂😂😂Ah wapi.. ana nyodo sana, anajifanya mjanja mtoto wa Mjini, DRAGON kama DRAGON. tena huyu anakunywa na Mapombe makali.. hana muda mrefu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari tupuUjue mlivokua mnasema dragon [emoji244] nilikua sielewe sasa nkaanza kumuwaza dragon wa kwenye Merlin nkakumbuka anavotoa moto mdomoni ndo nikajua anhaaa...kumbe vile watu wa shisha wanavotoa Moshi mdomoni ndo mnawaita madragoni[emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]mna balaa ninyi
Daah chini ya futi 6 imagine funza wanakula hizi nyama mpaka anabaki mifupa...
Aiseeh kweli..Ndio ujue kuwa binadamu si kitu na mwisho wake ni mauti. Mungu ni mwema kila nyakati.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sahiv shisha zinawekw cocaine etc ili watu wawe addicted.. moshi ni moshi tu juzi nilikuwa ktk semina ya madaktari, kila mmoja alikuwa anatoa ushuhuda wake. Hali si nzuri kabisa..
Biashara nzuri sahiv ni kumiliki mashine ya Dialysis. Watu wanaumw figo wengi na matibab yake ni very expensive. Naona pia Shisha italeta hela sana ktk sekta ya afya.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ujue mlivokua mnasema dragon [emoji244] nilikua sielewe sasa nkaanza kumuwaza dragon wa kwenye Merlin nkakumbuka anavotoa moto mdomoni ndo nikajua anhaaa...kumbe vile watu wa shisha wanavotoa Moshi mdomoni ndo mnawaita madragoni[emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]mna balaa ninyi