Msanii wa Bongo Movie Wellu Sengo...

Anakasura ila sio kwa ubonge ule,wasanii wetu sijui kwanini hawana desturi yakufanya mazoezi Ona shilole ni cute but that body bruh[emoji1373]Wawe wanaangalia hata waigizaji wenzao waSouth au Kenya hapo.
shilole amekua wa mviringo too much
 
Huyu Dada kwa sasa namwona kwenye Series ya Mwanamuziki ya mzee mzima JB....
Inarushwa kwenye Azam TV... Sinema Zetu.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] najua miruzi yote imepotea zizi kwa sasa

steve amemperepeta mrembo huyu[emoji1][emoji1] amebaki anapost pasport size.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo ana watt 2 kila mtt na baba ake?
Mi najua kazaa na Steve Nyerere, kumbe kazaa na mwingine pia?[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…