Msanii wa Bongo Movie Wellu Sengo...

Msanii wa Bongo Movie Wellu Sengo...

Anakasura ila sio kwa ubonge ule,wasanii wetu sijui kwanini hawana desturi yakufanya mazoezi Ona shilole ni cute but that body bruh[emoji1373]Wawe wanaangalia hata waigizaji wenzao waSouth au Kenya hapo.
shilole amekua wa mviringo too much
 
Huyu Dada kwa sasa namwona kwenye Series ya Mwanamuziki ya mzee mzima JB....
Inarushwa kwenye Azam TV... Sinema Zetu.
 
2.jpg
Huu mwili sijui ataurudishaje..
 
[emoji1][emoji1][emoji1] najua miruzi yote imepotea zizi kwa sasa

steve amemperepeta mrembo huyu[emoji1][emoji1] amebaki anapost pasport size.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu demu kazaa na tapeli mmoja pale kinondoni anaita Bill Ndilla.tulimshauri sana arudi shule na atulize bichwa lakini hasikii haelewi na janaume lenyewe malayaaa linaiba namba za simu za marafiki wa demu wake na kutoka nao na huyu boya Wellu anajua ila ndo anajifanya love is blind
Kwahiyo ana watt 2 kila mtt na baba ake?
Mi najua kazaa na Steve Nyerere, kumbe kazaa na mwingine pia?[emoji848]
 
Back
Top Bottom