Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Steve Nyerere alipita naye kama kipanga na mtoto juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!Mm mtu akishakuwa na choo hata kama sura ka kibwengo ni sawa tu
enzi hizo steve alipiga hela za project ya mama ongea na mwanao akanunua hadi prado ndio alikua analichakata hili dudeSteve Nyerere alipita naye kama kipanga na mtoto juu
shilole amekua wa mviringo too muchAnakasura ila sio kwa ubonge ule,wasanii wetu sijui kwanini hawana desturi yakufanya mazoezi Ona shilole ni cute but that body bruh[emoji1373]Wawe wanaangalia hata waigizaji wenzao waSouth au Kenya hapo.
Sahivi amerudi kwenye uhalisiaenzi hizo steve alipiga hela za project ya mama ongea na mwanao akanunua hadi prado ndio alikua analichakata hili dude
frankly speaking Wellu ni mwanamke flani very classic
Kuna mtu nimemwambia akawa ananibiashia na kipindi hiko hela ya kuwagawia wasanii wenzie alikuwa anashika yeye.enzi hizo steve alipiga hela za project ya mama ongea na mwanao akanunua hadi prado ndio alikua analichakata hili dude
🤣🤣🤣🤣she is a new movie star..
the next Wema Sepetu...lol
Huu mwili sijui ataurudishaje..
Itamchukua nguvu kubwa sana kurudi hapo...almost impossibleHuu mwili sijui ataurudishaje..
Dah!Steve ndio alimuharibu kula kula huyuItamchukua nguvu kubwa sana kurudi hapo...almost impossible
Alimuharibu aje?Dah!Steve ndio alimuharibu kula kula huyu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1] najua miruzi yote imepotea zizi kwa sasa
steve amemperepeta mrembo huyu[emoji1][emoji1] amebaki anapost pasport size.
Kumnunulia vitimoto na beerAlimuharibu aje?
hahah ok...Kumnunulia vitimoto na beer
Sio huyu bwana, nakataaHuu mwili sijui ataurudishaje..
😂😂😂😂😂Mimi mwenyewe sijaelewaelewa lakini ndio hivyo maana Ukiona picha za bongo movie wote za zamani huwa zinashangazaSio huyu bwana, nakataa
Kwahiyo ana watt 2 kila mtt na baba ake?Huyu demu kazaa na tapeli mmoja pale kinondoni anaita Bill Ndilla.tulimshauri sana arudi shule na atulize bichwa lakini hasikii haelewi na janaume lenyewe malayaaa linaiba namba za simu za marafiki wa demu wake na kutoka nao na huyu boya Wellu anajua ila ndo anajifanya love is blind