Msanii wa Bongofleva Malaika, apiga picha za utupu

Wabongo bana...
Sasa kuna shida gani kwenye hizo pics
 
Mtoa mada acha kuzingua embu tuwekee hapa tuzionie halafu mbona nipples zimezibwa acha ujinga bila picha habari yako ni ya uongo na ya kinafki na uongo ni dhambi ?
 
Chuchu zmekomaa utafikiri jiwe la kusugulia miguu swissme
 

Mwaka huu tutaona nyuchi nyingi
 

Mwaka huu tutaona nyuchi nyingi
 
Kweli nimeamini wabongo mmejaliwa ubunifu. Ati malaika aweka picha zake za utupu mitandaoni. Ziko wapi?? Kwani hiyo picha ya kuonesha hayo matiti malapa ndo ya utupu?? Je angeweka ya akiwa anaoga si mngemuwehusha?? Waacheni watu jamani wajipungie kahewa, Akianika mahindi yake nje kelele, hamjui kuna baridi na mahindi yanaleta ukungu??
 
Mziki ushakua mgumu, hakuna kubahatisha.
kiki zitawafanya muanike vinyeo wazi
 
Umesema amepiga picha za utupu lakini hapa umetuonyesha picha moja tu nyingine ziko wapi ama hili neno "za" umelitumia kimakosa mkuu.
 
Uumbaji wa Allah
Tangu ahamie kwa Trump amezidi kuwakaaaa, tuwekeeni basi hizo picha wanachama wa CHAPUTA tufanye yetu
 
Mama yake ana shida sana
Angejua haya yangetokea angemtoa mapema sana
 
Huyu dada nampenda sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…